fakalava
JF-Expert Member
- Jul 16, 2015
- 4,459
- 6,030
Mzima kabisa ila nimewamiss kiaina, uko byee?Sawa sawa mzima lakini
Mzima kabisa ila nimewamiss kiaina, uko byee?Sawa sawa mzima lakini
Ilikuwa Juni 26, hakika hatosahaulika kwa wapenda soka walio wengi.
EDO Kumwembe amempa mwanae jina la Marc Vivien ikiwa ni heshima yake kwa mchezaji huyo.

Niko poa fakalava tumekumiss piaMzima kabisa ila nimewamiss kiaina, uko byee?
Daaaaah mkuu we achaaa tuUmemsahau Tore Ande Flo! Halafu kitambaa alikuwa anavaa mbabe mmoja anaiywa Denis Wise.
Asante komredi1. Paolo Maldini ( Ac Milan #3 )
Miaka 25 akiwa na Milan huku akitwaa mataji 26 ilitosha kabisa kustaafisha jezi ya Nahodha huyo mwenye mafanikio zaidi klabuni hapo.
![]()
Mwisho
Mrejesho kwa muhtasari kidogooHabari Makapuku, bado niko huku nafanya utafiti wa makinikia.
Anajifanya kufukunyuaa![]()
mke mwee nilikuuliza unaitaka amani ya moyo haya sasa angaika nayo binamu za kwako
Atakipata anachokitakaAnajifanya kufukunyuaa
Au hajui kuwa kinyerezii kule kuna khadija??Atakipata anachokitaka
Huyu fundi fundi ndo alinipeleka kwa mkopo Darajani na nikajisajiri.7. Gianfranco Zola ( Chelsea #25 )
Ingawa klabu ya Chelsea haikuwahi kutangaza wala kuthibitisha rasmi, lakini inaonekana kama ni dhahiri shairi, jezi ya Zola namba 25 imestaafishwa.
Ni miaka 14 sasa toka Zola aondoke Chelsea lakini mpaka sasa hakuna mchezaji mwingine aliyewahi kuvaa namba 25 klabuni hapo. Zola ni shujaa Chelsea kabla ya zama za Tajiri Abramovich.
John Terry alichagua kuvaa namba 26 ili kukaa karibu na mkongwe huyo kwenye bus la timu pamoja na dressing room.
![]()
Mh umeanza hadija na shemela wapi na wapiAu hajui kuwa kinyerezii kule kuna khadija??
Sampuli imetumwa Canada, majibu yatatumwa ndani ya wiki hii.Mrejesho kwa muhtasari kidogoo
Huyu fundi fundi ndo alinipeleka kwa mkopo Darajani na nikajisajiri.
Ujue ni kutokuwa na records tu, hata mimi timu yangu ya kitaa imetunza jezi yangu kwa heshima maana two times tulishinda mbuzi mnyama cup na one time tukawa mabingwa wa kugombea jezi cup.
Utauliza jezi yangu namba ngapi!? Well, jezi haikuwa na namba, siku hizi jezi zina namba na isiyo na namba wameitunza kwa heshima yangu kiungo mkabaji.
Asante sana mpenzi msomaji
hawakujii bhinamu vile vyanga vyako amaiziiiing ....ulikuwa unatishaa
Hiiiiii we naeee muulize binamu wakoMh umeanza hadija na shemela wapi na wapi
MhHiiiiii we naeee muulize binamu wako
Sema hatusemii
Sawa hongereniSema hatusemii