Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
FahamishaaaHelloz
FahamishaaaHelloz
Pamoja sana Komredi!Asante komredi
HahahahaHuyu fundi fundi ndo alinipeleka kwa mkopo Darajani na nikajisajiri.
Ujue ni kutokuwa na records tu, hata mimi timu yangu ya kitaa imetunza jezi yangu kwa heshima maana two times tulishinda mbuzi mnyama cup na one time tukawa mabingwa wa kugombea jezi cup.
Utauliza jezi yangu namba ngapi!? Well, jezi haikuwa na namba, siku hizi jezi zina namba na isiyo na namba wameitunza kwa heshima yangu kiungo mkabaji.
Asante sana mpenzi msomaji
Duh amekula chumvi ya kutosha!5/Sarah Knauss
Alizaliwa tarehe 24 Septemba 1880![]()
Ni bibi wa Kimarekani anayeshikilia rekodi ya Mmarekani mzee zaidi kuwahi kutokea
Enzi za uhai wake alikuwa ni mfanyakazi kwenye kampuni ya bima nchini humo Insurance worker
Alifariki dunia mwaka 1999 akiwa na umri wa miaka 119
........
Umekosea njia kiongoziNpeni like kwanza
Acha upuuziAcheni uchoyo wa like nyinyi
Daaaaaah kweli chumvi kailaa2/Tuti Yusupova![]()
![]()
Alizaliwa kati ya mwaka 1880 au 1882
Alikuwa ni bibi wa Uzbekistan.....wakati anazaliwa nchi hiyo ilikuwa sehemu ya Urusi sijui koloni lao kiufupi inachanganya
Akishikilia rekodi ya mtu mzee zaidi duniani hadi pale alipofariki
Alifariki dunia mwaka 2015 akiwa na umri wa miaka 134 na siku 270
........
Ila ni wachocheziApa sijui mbuzi kafia kwa muuza supuu au tusemeje bhinamu
Nitag plzBinamu mimi na wewe tuna ugomvi? au we leo umetokea kuichukia mimba changa
![]()
![]()
![]()
hawakujii bhinamu vile vyanga vyako amaiziiiing ....ulikuwa unatishaa
Sema ulikuwa unanogaa ukisikia kisauti cha Jesca wa primary 'usiniumizieeeee'
Utaniambiaa alienda wap
Duh1/Thagabo Ebba![]()
![]()
![]()
Ni Muethipia alizaliwa miaka ya 1850's
Muda wake mwingi anejishughulisha na kilimo
Sijaona mahali popote kama huyu babu keshafariki(sina uhakika)
Kinachomnyima tunzo ya kuwa mtu mzee zaidi duniani ni ukosevu wa ushahidi kamili pia Wazungu hujipendelea tu kwa kila jambo
Ana umri wa zaidi ya miaka 160
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
.............