Makapuku Forum

Makapuku Forum

Huyu fundi fundi ndo alinipeleka kwa mkopo Darajani na nikajisajiri.

Ujue ni kutokuwa na records tu, hata mimi timu yangu ya kitaa imetunza jezi yangu kwa heshima maana two times tulishinda mbuzi mnyama cup na one time tukawa mabingwa wa kugombea jezi cup.

Utauliza jezi yangu namba ngapi!? Well, jezi haikuwa na namba, siku hizi jezi zina namba na isiyo na namba wameitunza kwa heshima yangu kiungo mkabaji.

Asante sana mpenzi msomaji
Hahahaha
 
5/Sarah Knauss
bfaedcd35b0c516da86f8c6ccaf7c275.jpg
575c44c48099b4be208fd28121932307.jpg
Alizaliwa tarehe 24 Septemba 1880
Ni bibi wa Kimarekani anayeshikilia rekodi ya Mmarekani mzee zaidi kuwahi kutokea
Enzi za uhai wake alikuwa ni mfanyakazi kwenye kampuni ya bima nchini humo Insurance worker
Alifariki dunia mwaka 1999 akiwa na umri wa miaka 119
........
Duh amekula chumvi ya kutosha!
 
4/Juana Chox Yac
f04404aa95da586afc61b5a69269ba7b.jpg
3adca081e02926c03caab2075c526a7c.jpg

Alizaliwa Novemba 29 1893 nchini Guatemala
Amewahi kushikilia rekodi ya dunia ya mtu mzee zaidi duniani hadi mauti yalipomfika
Alipatiwa kitambulisho cha Taifa mwaka 2012 baada ya vielelezo kujitosheleza bila chenga kwamba kazaliwa karne ya 19
Ameacha vitu kuu kibao
Alikuwa na umri wa miaka 122 wakati anafariki dunia 2015
.......
 
3/Jeanne Calment
eded93b5a515d1e87cd025b44c0a74b6.jpg
2af751457a7579e9538928f282f6fc44.jpg
Alizaliwa Februari 21 mwaka 1875
Ni bibi wa Kifaransa mpuliza fegi
Alikuwa anajishughulisha zaidi na kilimo
Alianza kufahamika pindi alipofikisha miaka 113 na kuwa maarufu dunia nzima...nafikiri ndiye Mfarabsa mzee zaidi kuwahi mutokea
Alifariki mwaka 1996 mwezi Agosti akiwa na umri wa miaka 122 na siku 164
......
 
2/Tuti Yusupova
548425ccda248859eb61788f3f562d1e.jpg
bcff1555857efadc13a22eaf242f169f.jpg

Alizaliwa kati ya mwaka 1880 au 1882
Alikuwa ni bibi wa Uzbekistan.....wakati anazaliwa nchi hiyo ilikuwa sehemu ya Urusi sijui koloni lao kiufupi inachanganya
Akishikilia rekodi ya mtu mzee zaidi duniani hadi pale alipofariki
Alifariki dunia mwaka 2015 akiwa na umri wa miaka 134 na siku 270
........
 
2/Tuti Yusupova
548425ccda248859eb61788f3f562d1e.jpg
bcff1555857efadc13a22eaf242f169f.jpg

Alizaliwa kati ya mwaka 1880 au 1882
Alikuwa ni bibi wa Uzbekistan.....wakati anazaliwa nchi hiyo ilikuwa sehemu ya Urusi sijui koloni lao kiufupi inachanganya
Akishikilia rekodi ya mtu mzee zaidi duniani hadi pale alipofariki
Alifariki dunia mwaka 2015 akiwa na umri wa miaka 134 na siku 270
........
Daaaaaah kweli chumvi kailaa
 
hawakujii bhinamu vile vyanga vyako amaiziiiing ....ulikuwa unatishaa

Sema ulikuwa unanogaa ukisikia kisauti cha Jesca wa primary 'usiniumizieeeee'

Utaniambiaa alienda wap


Ha ahhahahaha, mjomba unakumbukumbu sana, inafaa uwe mkutubi hakyanani. Jesca (sio yule wa udom) yupo sema anajiita Jessicar kujitofautisha na mtoto wa pale panaponuka shombo feri.

Unakumbuka that day tuna mechi na wale jamaa wa polisi Kota , wao wana jezi sisi kifua game?

Ile nimetanguliziwa krosi naikimbilia nasikia "usiniumizie"""" basi midadi ikaniongezea mbio .

Kitahamaki nasikia kifua kinabana bana, watu makelele obe obe obe obe huku wanacheka , nikajua wamefurahishwa na mbio zangu, kama Lunyamila.

Lahaula kujicheki kumbe VIP yangu ilikatika ikapanda juu ikatulia kifuani kama sidiria.
Mjomba hii story usiilete tena hapa, ilinitia haya sana
 
1/Dhaqabo Ebba
118fb4bfef6099f4bb3e8cfc41363089.jpg
de139d640bfe52257117e905eae0a502.jpg
bb0c1efc0b9b66e047cfff9a932d57c9.jpg

Ni Muethipia alizaliwa miaka ya 1850's
Muda wake mwingi anejishughulisha na kilimo
Sijaona mahali popote kama huyu babu keshafariki(sina uhakika)
Kinachomnyima tunzo ya kuwa mtu mzee zaidi duniani ni ukosevu wa ushahidi kamili pia Wazungu hujipendelea tu kwa kila jambo
Ana umri wa zaidi ya miaka 160
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
.............
 
1/Thagabo Ebba
118fb4bfef6099f4bb3e8cfc41363089.jpg
de139d640bfe52257117e905eae0a502.jpg
bb0c1efc0b9b66e047cfff9a932d57c9.jpg

Ni Muethipia alizaliwa miaka ya 1850's
Muda wake mwingi anejishughulisha na kilimo
Sijaona mahali popote kama huyu babu keshafariki(sina uhakika)
Kinachomnyima tunzo ya kuwa mtu mzee zaidi duniani ni ukosevu wa ushahidi kamili pia Wazungu hujipendelea tu kwa kila jambo
Ana umri wa zaidi ya miaka 160
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
.............
Duh
Asante Bitoz kwa top 10
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom