Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ha ahahhahahaha! Yule beki alikuwa noma sana mambo madogo tu akataka kuleta ubabe, usingekuwepo ningemjeruhi sana na yule dada nikaondoka naye kumalizia kumpa address yangu.

Si unajua hatukuwa na simu kwa hiyo kutoa address lazima uanze na
Obe Mimi
C/o Mjomba Lee
S.L.P .....
Nyumbani.

Si kazi rahisi ati
Ha ha ha ha ha ha ha ha ungelimjeruhi wapii wakati ulinywea kama sisimizi mpaka nikatoa kale ka kisu nilikokuwa nimekachonga kwa ajili ya kuibia maembe ila tuliwawezaaa....

Ila bhinamu unakumbuka yule bint wa jiran aliyetoka advanced level shuleni ukajitutumua kumpiga mistariii....weee bhinamuu ukipanga wako umeuanzaa zamani dadekiiiii eti ukaniomba nikuandikie kwa kingereza .....
 
Ha ahahhahahaha! Yule beki alikuwa noma sana mambo madogo tu akataka kuleta ubabe, usingekuwepo ningemjeruhi sana na yule dada nikaondoka naye kumalizia kumpa address yangu.

Si unajua hatukuwa na simu kwa hiyo kutoa address lazima uanze na
Obe Mimi
C/o Mjomba Lee
S.L.P .....
Nyumbani.

Si kazi rahisi ati

unatoa address ukisubiri barua kutoka kwa mtoto sio!
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha ungelimjeruhi wapii wakati ulinywea kama sisimizi mpaka nikatoa kale ka kisu nilikokuwa nimekachonga kwa ajili ya kuibia maembe ila tuliwawezaaa....

Ila bhinamu unakumbuka yule bint wa jiran aliyetoka advanced level shuleni ukajitutumua kumpiga mistariii....weee bhinamuu ukipanga wako umeuanzaa zamani dadekiiiii eti ukaniomba nikuandikie kwa kingereza .....


Nakumbuka sana anko, ha ahahhahahaha, wewe si nilikuonesha ile barua aliyoniandikia kingereza mwanzo mwisho Mara to love you more na mengine mengi.
Ulipoisoma ukaniambia acha mchecheto kacopy wimbo wa Celine Dion.

Kwa kweli kwa kiinglish kile nilitaka kumuomba anipe talk yangu
 
Bhinamuu umenikumbusha mbali aiseeeeeh achana na hiyo ya VIP ...ila jessicar alikuwa kichwa hatariiiiii ...kitoto cheupeee sema unakumbukaa ile siku mmeshinda sijui mlikuwa mnaita kambi ...kitu cha ubwabwa kikapikwa kucheki uku na kule anko yako ata namba 17 siwez kudanganya kuchezaa ...ukajitosa kuniibiaa kitu cha ubwabwa ...achaa hiyoo ile komeshaa siku ya mechi na wale bad boys mlivowafungaa na wewwe ukatia 2 watuuuuu obe obe obe ....japo moja ulioteaa ...mpira kwisha wakakufumaniaa na demu wa beki waoo
Ohoooo fumanizi teina

 
Ha ahahhahahaha! Yule beki alikuwa noma sana mambo madogo tu akataka kuleta ubabe, usingekuwepo ningemjeruhi sana na yule dada nikaondoka naye kumalizia kumpa address yangu.

Si unajua hatukuwa na simu kwa hiyo kutoa address lazima uanze na
Obe Mimi
C/o Mjomba Lee
S.L.P .....
Nyumbani.

Si kazi rahisi ati
obe Mimi
C.o mjomba lee
 
Nakumbuka sana anko, ha ahahhahahaha, wewe si nilikuonesha ile barua aliyoniandikia kingereza mwanzo mwisho Mara to love you more na mengine mengi.
Ulipoisoma ukaniambia acha mchecheto kacopy wimbo wa Celine Dion.

Kwa kweli kwa kiinglish kile nilitaka kumuomba anipe talk yangu
Bhinamu mbona unaanza kusahau ule wimbo ulikuwa nakumbuka wa westlife binamu tena ilo gazeti tuliliokotaa nkawa nakusomea ila tulimkomeshaaa mpaka tukamuomba yule big aturembishiee mwandikooo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom