Makapuku Forum

Makapuku Forum

10/Margaret Ann Neve
cc21a000e066466f4f47499477221bf8.jpg
319772029aab3625d5111c631eed4ada.jpg
Bibi huyu Alizaliwa mnamo mwaka 1792
Alikuwa ndiye mwanamke mzee zaidi duniani hadi kipindi alipofariki
Umri wake ulithibitika pia kitaalamu kwa kutumia Medical technology
Huyu bibi alijaaliwa kuishi karne tatu yaani karne ya 18,19 na 20 na ndiye binadamu pekee aliyekuwa na kumbukumbu safi kabisa za mambo yaliyojiri karne ya 18,19 & 20
Alifariki 1903 akiwa na umri wa miaka 110 na siku 321
Nimemweka kutokana na sababu za hapo juu(kuishi karne 3)
.......
 
4. Roberto Baggio ( Brescia #10 )

Straika huyu mahiri uwepo wake klabuni Brescia, ulisaidia timu hiyo kunusurika kushuka daraja mara tatu, magoli 45 katika mechi 95 za ligi kuu sio haba. Toka alipoondoka klabuni hapo mwaka 2004 hakuna mchezaji mwingine aliyevaa jezi hiyo.

sep-2000-roberto-baggio-of-brescia-wearing-the-number-10-shirt-during-picture-id1049600
brescias-roberto-baggio-celebrates-his-goal-during-the-italian-serie-picture-id50817979
II bivin codino .... (Divine ponytail) utakumbukwa
 
3. Dani Jarque ( Espanyol #21 )

Beki wa zamani wa Espanyol alifariki mwaka 2009 kwa ugonjwa wa moyo, hiyo ni baada ya mwezi mmoja tu kukabidhiwa unahodha wa timu hiyo.Kutokana na mchango wake klabuni, jezi yake namba 21 ilistaafishwa kama kumbukumbu kwa vizazi vijao.

Haishangazi, Andres Iniesta alipofunga goli la ushindi mwaka 2010 katika Fainali ya Kombe la Dunia, alivua jezi ilyoandikwa " Dani Jarque Siempre Con Nosotros " ikiwa na maana " Dani Jarque always with us "


200px-DaniJarque.JPG

FILE+PHOTOS+Espanyol+Captain+Daniel+Jarque+9hQcV6U0Htyl.jpg

zxCA9skL3ERY6xwLt4s313.jpg
 
10/Margaret Ann Neve
cc21a000e066466f4f47499477221bf8.jpg
319772029aab3625d5111c631eed4ada.jpg
Bibi huyu Alizaliwa mnamo mwaka 1792
Alikuwa ndiye mwanamke mzee zaidi duniani hadi kipindi alipofariki
Umri wake ulithibitika pia kitaalamu kwa kutumia Medical technology
Huyu bibi alijaaliwa kuishi karne tatu yaani karne ya 18,19 na 20 na ndiye binadamu pekee aliyekuwa na kumbukumbu safi kabisa za mambo yaliyojiri karne ya 18,19 & 20
Alifariki 1903 akiwa na umri wa miaka 110 na siku 321
Nimemweka kutokana na sababu za hapo juu(kuishi karne 3)
.......
I see,pumzika kwa amani bibi.Tumuombe Mungu atupe maisha marefuu,afya njema na amani...Mungu anaweza yote
 
3. Dani Jarque ( Espanyol #21 )

Beki wa zamani wa Espanyol alifariki mwaka 2009 kwa ugonjwa wa moyo, hiyo ni baada ya mwezi mmoja tu kukabidhiwa unahodha wa timu hiyo.Kutokana na mchango wake klabuni, jezi yake namba 21 ilistaafishwa kama kumbukumbu kwa vizazi vijao.

Haishangazi, Andres Iniesta alipofunga goli la ushindi mwaka 2010 katika Fainali ya Kombe la Dunia, alivua jezi ilyoandikwa " Dani Jarque Siempre Con Nosotros " ikiwa na maana " Dani Jarque always with us "


200px-DaniJarque.JPG

FILE+PHOTOS+Espanyol+Captain+Daniel+Jarque+9hQcV6U0Htyl.jpg

zxCA9skL3ERY6xwLt4s313.jpg
RIP DANI Jarque...nimependa huyu mfungaji alivyomuweka rohoni,nadhani alikua role model wake na kuamini ushindi kila akimkumbuka
 
2. Diego Armando Maradona ( Napoli #10 )

Mmoja kati ya wachezaji bora wa wakati wote kuwahi kutokea katika uso wa dunia. Miaka yake 7 ndani ya Jiji la Naples ilitosha kabisa kumpa sifa zote kama mmoja wa mashujaa katika klabu hiyo. Altokea Barca na kuiikuta Napoli kama timu ya kawaida na kuwapa ubingwa wa Ligi kuu ya Italy (Serie A) mara Mbili na pekee, Uefa Cup, Coppa Italia na Italian super cup.
Na kuifanya Napoli itambe Ulaya upya, na katika kipindi hiko Maradona ndipo alipoanza kutumia dawa za kulevya.

Jezi namba 10 ya Napoli iliistafishwa kwa heshima yake, huku wakijaribu kubadili jina la uwanja wa Stadio San Paolo kwenda kuwa Stadio Diego Maradona ikishindikana kutokana na sheria za Italy.

Maradona.jpg
390F171700000578-3820190-image-m-66_1475526096038.jpg
 
9/Emma Morano
950177f78de3c27e92bc48687f50971f.jpg
f7d39e810ec3c15a1475e05e9a68db2e.jpg

Alizaliwa 1899 nchini Italia
Ndiye anayeshikilia rekodi kwenye Guinness Book ya mtu Mzee zaidi duniani aliye hai
Huyu bibi pia ndiye binadamu pekee aliyepo hai ambaye kazaliwa karne ya 19
Km unataka simulizi za zamani mfano kuhusu vita kuu ya kwanza ya dunia na mambo kibao ya zamani mtafute
Ana umri wa miaka 117 na bado yupo yupo sana
........
 
*** Extra Time ***

- Kuna dalili zote Klabu ya As Roma itastaafisha jezi namba 10 iliyovaliwa na mkongwe Fransisco Totti

- Klabu ya Soka ya Simba nayo imestaafisha jezi namba 30 iliyokuwa inavaliwa na Kiungo Marehemu Mutesa Mafisango.

Tumalizie na namba 1
 
8/Misao Okawa
05dededa7888e7b606a807572c7559ab.jpg
ff2fcfe2494af7bd552d4aea1ce3f8e4.jpg
Ni bibi wa Kijapan aliyezaliwa mwaka 1898
Ndiye aliyekuwa akishikilia rekodi ya mtu Mzee zaidi duniani hadi pale Mwenyezi alipomtwaa
Huko Japan kuna wazee zaidi ya 50,000 wenye umri zaidi ya miaka 100 .....Wajapan siyo wa mchezo mchezo hawaendi makaburini mapema
Sisi huku serikali ya Mh. Sizonje inasimanga wazee eti wanamaliza dawa
Alifariki dunia 2015 akiwa na miaka 117
........
 
Mzee mwenye mpira wake mpaka sasa .....japo wengi wanampinga kwa kumlinganisha na vijana wa kileo ...japo wanadai alaikuwa anafunga za mchanganiii lakin zama zile mpaka anastaafu yanamfaa
Tunaompinga Pele tunasababu za kutosha, ikiwemo ya kutocheza ulaya kwenye upinzani zaidi matokeo yake alijikita zaidi Amerika.

Pia kwenye mafanikio ya timu ya taifa, alibebwa sana na watu wengine. Kwakifupi alizungukwa na vipaji maridhawa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom