Makapuku Forum

Makapuku Forum

0b17f071a2cb3acb3976ac9ed2629bac.jpg
 
Ha ahhahahaha, mjomba unakumbukumbu sana, inafaa uwe mkutubi hakyanani. Jesca (sio yule wa udom) yupo sema anajiita Jessicar kujitofautisha na mtoto wa pale panaponuka shombo feri.

Unakumbuka that day tuna mechi na wale jamaa wa polisi Kota , wao wana jezi sisi kifua game?

Ile nimetanguliziwa krosi naikimbilia nasikia "usiniumizie"""" basi midadi ikaniongezea mbio .

Kitahamaki nasikia kifua kinabana bana, watu makelele obe obe obe obe huku wanacheka , nikajua wamefurahishwa na mbio zangu, kama Lunyamila.

Lahaula kujicheki kumbe VIP yangu ilikatika ikapanda juu ikatulia kifuani kama sidiria.
Mjomba hii story usiilete tena hapa, ilinitia haya sana
mpendwa hii ya Leo Kali kuliko






 
1/Dhaqabo Ebba
118fb4bfef6099f4bb3e8cfc41363089.jpg
de139d640bfe52257117e905eae0a502.jpg
bb0c1efc0b9b66e047cfff9a932d57c9.jpg

Ni Muethipia alizaliwa miaka ya 1850's
Muda wake mwingi anejishughulisha na kilimo
Sijaona mahali popote kama huyu babu keshafariki(sina uhakika)
Kinachomnyima tunzo ya kuwa mtu mzee zaidi duniani ni ukosevu wa ushahidi kamili pia Wazungu hujipendelea tu kwa kila jambo
Ana umri wa zaidi ya miaka 160
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
.............
huyu kavunja rekodi
 
2/Tuti Yusupova
548425ccda248859eb61788f3f562d1e.jpg
bcff1555857efadc13a22eaf242f169f.jpg

Alizaliwa kati ya mwaka 1880 au 1882
Alikuwa ni bibi wa Uzbekistan.....wakati anazaliwa nchi hiyo ilikuwa sehemu ya Urusi sijui koloni lao kiufupi inachanganya
Akishikilia rekodi ya mtu mzee zaidi duniani hadi pale alipofariki
Alifariki dunia mwaka 2015 akiwa na umri wa miaka 134 na siku 270
........
Ubarikiwe umeniongezea elimu, ushanipa ratiba ya kupitia huu uzi kila siku.
 
Ha ahhahahaha, mjomba unakumbukumbu sana, inafaa uwe mkutubi hakyanani. Jesca (sio yule wa udom) yupo sema anajiita Jessicar kujitofautisha na mtoto wa pale panaponuka shombo feri.

Unakumbuka that day tuna mechi na wale jamaa wa polisi Kota , wao wana jezi sisi kifua game?

Ile nimetanguliziwa krosi naikimbilia nasikia "usiniumizie"""" basi midadi ikaniongezea mbio .

Kitahamaki nasikia kifua kinabana bana, watu makelele obe obe obe obe huku wanacheka , nikajua wamefurahishwa na mbio zangu, kama Lunyamila.

Lahaula kujicheki kumbe VIP yangu ilikatika ikapanda juu ikatulia kifuani kama sidiria.
Mjomba hii story usiilete tena hapa, ilinitia haya sana

halafu kumbe wewe mdau una mbwembwe na masihara kibao
 
Ha ahhahahaha, mjomba unakumbukumbu sana, inafaa uwe mkutubi hakyanani. Jesca (sio yule wa udom) yupo sema anajiita Jessicar kujitofautisha na mtoto wa pale panaponuka shombo feri.

Unakumbuka that day tuna mechi na wale jamaa wa polisi Kota , wao wana jezi sisi kifua game?

Ile nimetanguliziwa krosi naikimbilia nasikia "usiniumizie"""" basi midadi ikaniongezea mbio .

Kitahamaki nasikia kifua kinabana bana, watu makelele obe obe obe obe huku wanacheka , nikajua wamefurahishwa na mbio zangu, kama Lunyamila.

Lahaula kujicheki kumbe VIP yangu ilikatika ikapanda juu ikatulia kifuani kama sidiria.
Mjomba hii story usiilete tena hapa, ilinitia haya sana
Bhinamuu umenikumbusha mbali aiseeeeeh achana na hiyo ya VIP ...ila jessicar alikuwa kichwa hatariiiiii ...kitoto cheupeee sema unakumbukaa ile siku mmeshinda sijui mlikuwa mnaita kambi ...kitu cha ubwabwa kikapikwa kucheki uku na kule anko yako ata namba 17 siwez kudanganya kuchezaa ...ukajitosa kuniibiaa kitu cha ubwabwa ...achaa hiyoo ile komeshaa siku ya mechi na wale bad boys mlivowafungaa na wewwe ukatia 2 watuuuuu obe obe obe ....japo moja ulioteaa ...mpira kwisha wakakufumaniaa na demu wa beki waoo
 
1/Dhaqabo Ebba
118fb4bfef6099f4bb3e8cfc41363089.jpg
de139d640bfe52257117e905eae0a502.jpg
bb0c1efc0b9b66e047cfff9a932d57c9.jpg

Ni Muethipia alizaliwa miaka ya 1850's
Muda wake mwingi anejishughulisha na kilimo
Sijaona mahali popote kama huyu babu keshafariki(sina uhakika)
Kinachomnyima tunzo ya kuwa mtu mzee zaidi duniani ni ukosevu wa ushahidi kamili pia Wazungu hujipendelea tu kwa kila jambo
Ana umri wa zaidi ya miaka 160
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
.............
Asante Bitoz
 
Nilitaka kushangaa binamu labda me na wewe tuna ugomvi halaf sijijui

La mimba changa ni kweli binamu wala simu haijakosea na inanisumbua kweli tena nikisikia hizo habari zenu najisikia hata kichefu chefu

Hii mimba kiboko haitaki habari za makinikia wala wahamiaji haramu wala wale wengine
Hiii mama usiongee mengi
 
Bhinamuu umenikumbusha mbali aiseeeeeh achana na hiyo ya VIP ...ila jessicar alikuwa kichwa hatariiiiii ...kitoto cheupeee sema unakumbukaa ile siku mmeshinda sijui mlikuwa mnaita kambi ...kitu cha ubwabwa kikapikwa kucheki uku na kule anko yako ata namba 17 siwez kudanganya kuchezaa ...ukajitosa kuniibiaa kitu cha ubwabwa ...achaa hiyoo ile komeshaa siku ya mechi na wale bad boys mlivowafungaa na wewwe ukatia 2 watuuuuu obe obe obe ....japo moja ulioteaa ...mpira kwisha wakakufumaniaa na demu wa beki waoo


Ha ahahhahahaha! Yule beki alikuwa noma sana mambo madogo tu akataka kuleta ubabe, usingekuwepo ningemjeruhi sana na yule dada nikaondoka naye kumalizia kumpa address yangu.

Si unajua hatukuwa na simu kwa hiyo kutoa address lazima uanze na
Obe Mimi
C/o Mjomba Lee
S.L.P .....
Nyumbani.

Si kazi rahisi ati
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom