Makapuku Forum

Makapuku Forum

8. Marc Vivien Foe ( Man City #23 )

Baada ya kufariki ghafla uwanjani mwaka 2003 katika michuano ya ulaya, kiungo huyo wa Cameroon aliyekuwa anakipiga Man City kipindi hiko jezi yake ilistaafishwa kwa heshima yake.
Cl1mK1yXEAAWt2c.jpg
Foe%20after%20he%20scored%20one%20of%20his%20goals%20during%20the%20victory%20over%20Tranmere%20Rovers%20sept%202002jpg.jpg
R.I P Marc Foe kiukweli uliwaachia cameroon pengo lako na kwa heshima yako unakumbukwa daima ...

Dakika ya 73 cameroon akicheza na Colombia ilikuwa mbaya kwa wapenzi wa cameroon make pasipo kutarajia ndo mpendwa wetu ulitutoka .....Msaada wake ulikuwa mkubwa k2a club pamoja na timu ya taifa make magoli 8 kwa timu ya taifa ni mchango mkubwa

Kifo chake kilikuwa cha utata japo vyanzo vingi vilionesha tatzo kubwa lilikuwa HCM-nikimaanisha Hypertrophic cardiomyopathy ambapo huu ni ugonjwa wa kurithi (Genetic disorder ) ...halii hii husababisha mishipa ya damu hasa zile myocardium kuwa thick jambo ambalo inakuwa kazi kubwa au tatizo moyo kusukuma damu ipasavyo...

Heshima kwake ...
 
5. Javier Zanetti ( Inter Milan #4 )

Muargentina huyo, ametumia robo tatu ya maisha yake ya soka akiwa na Inter Milan kuanzia mwaka 1995 mpaka mwaka 2014 alipotundika daluga kama nahodha wa kikosi hiko huku akitwaa mataji ya kutosha. kwasasa ni Makamu mwenyekiti wa Klabu hiyo. Alipostaafu Inter Milan wakastaafisha jezi namba 4 kwa heshima yake na mchango mkubwa klabuni hapo.

tumblr_m4aqun26Sz1qfxktpo1_1280.jpg

41b70f047e7e23d59f6820a860f98b03.jpg
 
4. Roberto Baggio ( Brescia #10 )

Straika huyu mahiri uwepo wake klabuni Brescia, ulisaidia timu hiyo kunusurika kushuka daraja mara tatu, magoli 45 katika mechi 95 za ligi kuu sio haba. Toka alipoondoka klabuni hapo mwaka 2004 hakuna mchezaji mwingine aliyevaa jezi hiyo.

sep-2000-roberto-baggio-of-brescia-wearing-the-number-10-shirt-during-picture-id1049600
brescias-roberto-baggio-celebrates-his-goal-during-the-italian-serie-picture-id50817979
 
7. Gianfranco Zola ( Chelsea #25 )

Ingawa klabu ya Chelsea haikuwahi kutangaza wala kuthibitisha rasmi, lakini inaonekana kama ni dhahiri shairi, jezi ya Zola namba 25 imestaafishwa.
Ni miaka 14 sasa toka Zola aondoke Chelsea lakini mpaka sasa hakuna mchezaji mwingine aliyewahi kuvaa namba 25 klabuni hapo. Zola ni shujaa Chelsea kabla ya zama za Tajiri Abramovich.
John Terry alichagua kuvaa namba 26 ili kukaa karibu na mkongwe huyo kwenye bus la timu pamoja na dressing room.

article-0-15FC7F9B000005DC-379_634x463.jpg
Daaaaaah moja ya mbegu katika mpira wa miguu ambayo imesaidia sana pale darajaniiij


Ebwanaaaaah udambwiidambwiii wa huyu jamaa lazima apewaa heshima darajani ....ndo huyu huyu Omri Obe Gianfranco Zola kiumbe aliyesaidia sana mimi nakukumbuka na golden goal lako dhidi ya westham dec 21 ,96

Sema ile combination ilikuwa hatar kati akae Roberto di Matteo , Gullit ndan na Petrescu weeeee
 
TOP TEN
Kwa Tanzania juzijuzi kuna babu katangazwa kuwa ana miaka 120 ila tatizo hakuna vielelezo ndo tatizo la Watanzania na Afrika kwa ujumla kutotunza kumbukumbu mfano hata aliyebuni nembo ya Taifa eti hajulikani ni aibu.......Najua vijijini kuna vikongwe kibao vimejaa tele ila havina vyeti vya kuzaliwa

Sasa leo nakuletea watu kumi ambao wanajulikana kutokana na Mungu kuwajalia kula chumvi nyingi a.k.a vikongwe/wazee
Yaani wazee 10 wa muda wote
Kuzeeka ni baraka....kuishi kwingi ni kuona mengi
Karibuni
........
Asantee twende kazii
 
5. Javier Zanetti ( Inter Milan #4 )

Muargentina huyo, ametumia robo tatu ya maisha yake ya soka akiwa na Inter Milan kuanzia mwaka 1995 mpaka mwaka 2014 alipotundika daluga kama nahodha wa kikosi hiko huku akitwaa mataji ya kutosha. kwasasa ni Makamu mwenyekiti wa Klabu hiyo. Alipostaafu Inter Milan wakastaafisha jezi namba 4 kwa heshima yake na mchango mkubwa klabuni hapo.

tumblr_m4aqun26Sz1qfxktpo1_1280.jpg

41b70f047e7e23d59f6820a860f98b03.jpg
Huyu kwao muitee "Pupi" ila ukimuita 'El tractor ' unakuwa sawa bin sawiaa 100%
 
TOP TEN
Kwa Tanzania juzijuzi kuna babu katangazwa kuwa ana miaka 120 ila tatizo hakuna vielelezo ndo tatizo la Watanzania na Afrika kwa ujumla kutotunza kumbukumbu mfano hata aliyebuni nembo ya Taifa eti hajulikani ni aibu.......Najua vijijini kuna vikongwe kibao vimejaa tele ila havina vyeti vya kuzaliwa

Sasa leo nakuletea watu kumi ambao wanajulikana kutokana na Mungu kuwajalia kula chumvi nyingi a.k.a vikongwe/wazee
Yaani wazee 10 wa muda wote
Kuzeeka ni baraka....kuishi kwingi ni kuona mengi
Karibuni
........
Let's go mkuu
 
6. Johan Cruyff ( Ajax #14 )

Huyu ni mchezaji bora wa muda wote wa Uholanzi na Klabu ya Ajax. Mwaka 2008, Ajax walitangaza kutoitumia tena jezi hiyo kwa heshima ya Mkongwe wao hivyo ilimfanya Thomas Vermalen kuwa mchezaji wa mwisho kuivaa jezi hiyo kabla ya kustaafishwa.
Huyu ndio muasisi wa chuo cha soka cha Barcelona maarufu kama La Masia
johan-cruijff-nr-14-paul-meijering.jpg
Aiseeeeeee
 
TOP TEN
Kwa Tanzania juzijuzi kuna babu katangazwa kuwa ana miaka 120 ila tatizo hakuna vielelezo ndo tatizo la Watanzania na Afrika kwa ujumla kutotunza kumbukumbu mfano hata aliyebuni nembo ya Taifa eti hajulikani ni aibu.......Najua vijijini kuna vikongwe kibao vimejaa tele ila havina vyeti vya kuzaliwa

Sasa leo nakuletea watu kumi ambao wanajulikana kutokana na Mungu kuwajalia kula chumvi nyingi a.k.a vikongwe/wazee
Yaani wazee 10 wa muda wote
Kuzeeka ni baraka....kuishi kwingi ni kuona mengi
Karibuni
........
Shukurani mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom