Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,926
Mama yangu sitaki uwe bored sababu mukongo hayupo anaekupa mauwa

Mama yangu sitaki uwe bored sababu mukongo hayupo anaekupa mauwa

Mimi nilishtuka mapema nkajikataa kwa wale japo wewe uliona umefikaa kumbe umefikwa ...mm nilichofurahia ni kuona dalili za kupewa za mafuta make sethi na rugemalila wake hawachomokiii....Nipo anko, jana si unakumbuka nilikuambia nahama kama tulivyoongea, maana huu mtaa wahamiaji haramu wanataka kuleta zengwe kusikia kuna Noah inakuja toka acasicia.
Vipi lakini
Love cant be destroyed ...just transmitted from one to anotherKama ndo yule jamaa mpya afadhali tu ushemeji ufe. Nilifikiri kuwa baada ya brother Shedede ungekuwa angalau na kipindi cha ku-cool off kidogo na kuangalia upepo unakwendaje. Kumbe unaunganisha tu ka treni lisilo na breki from one relationship to another. Goodluck mama japo nahisi kama safari hii umelamba gharasha![]()
*dah!! mapenzi yanavotesaga wengi wanafikigiaga hata hatua ya kunywa sumu*
*mi mwenyewe juzi tu nimetoswa nililia hadi nikaamua kunywa FANTA*
_ulitaka nife_??
![]()

Muziki: Kuhama Mtaa
Ninyi ni watu wema sana, huwa nakuwa na wakati mzuri sana nikiwa hapa na hili si uongo wala makidai, Ndo ukweli na ukweli siku zote hata ukifukiwa futi sita chini utaibuka tu, huwa ni suala la muda tu na wala si kitu kingine. Hongera kwetu tunaojitahidi angalau kusema kweli japo mara chache kuliko nyingi za uongo. Sisi ni binadamu.
Nimefurahia segment ya Makapuku TV, hii itakuwa ni bomb, hoping itapangwa muda mzuri ili zisiingiliane na nyingine.
Jana nilipotea, yeah, ni vizuri nikashare nanyi maana tangu mwenye nyumba aanze kunisalimia kila siku (salamu maana yake anakumbushia nilipe kodi ya nyumba, ni haki yake lakini si kwa salamu zinazozidi kipimo). Nimeamua kuhama, naamu nahama maana kwanza nimesikia tetesi anaongeza kodi ya nyumba. Ni nyumba yake afanye analotaka na kodi ni yangu naamua navyotaka.
Mnakumbuka mwezi jana ulikuwa wa neema kwangu, kwanza nilinunua saa mpya, solar automatic. Then, baadaye yaani after that nikapewa simu ya tachi na funga kazi sasa nimeingiza flat scrini ndani na hapo sasa ndo maneno yalipoanza na vituko. Dirisha la chumbani limechwana mtindo wa sambusa, walitaka kupora simu wakaondoka na chaja, kama kuna member yeyote anakodisha chaja aweke tangazo, au vipi aniazime bila kuweka sharti la kurudishiwa. Mkopaji jeuri.
Nisikuchoshe bhana maana najikuta naongea sana. Kuna mtu aliniambia naongea sana kwa sababu nilichelewa kutembea, sio kosa lake maana ndo aliyenizaa.
Muziki na kuhama leo, nimekupigisha sound mvua hapo juu lakini lengo langu nataka tu umsikize Shaggy, yeah Mr Lavalava. Enzi hizo miziki ya kutengenezwa studio ndo inawika sanaa na japo huu wimbo ni wa studio lakini nimewahi kuwaona jamaa hapa mjini wanaucheza live gitaa nyingi na vinanda, utapenda.
Hadi hapo wakati mwingine Makapuku ni sehemu nzuri kwa sababu tu wewe u sehemu yake
Tahadhari: Muziki huu raha yake uwe na simu zile za kichina zenye spika nane na subufa, wenye Samsung, LG, Iphone na nyingine za makabila ya original inabidi muwe wataulivu sisi wenye Samsing, Itel6, Yutong4 tufaudu
Asante sana Obe ubarikiwe,ila simu imenikwamisha sana..anyway nimefurahia baada ya kusibiri sanaa
Asante mkuuWadau leo 10 kubwa haikiwepo sababu nilikuwa na dharura
Ikiwezekana nitawafidia Jumamosi au Jumapili
......
Picha inaonekanaUmeambua
Yeah, umetulia sana huo wimbo, enzi hizo naenda disco na patner wangu kavaa nguo ya kumpa uhuru anapocheza. Sio siku hizi disco si wanaume wala wanawake wamevaa jinsi hata kina Shululu wanaohesabu wanashindwa kuzihesabu

Mama yangu sitaki uwe bored sababu mukongo hayupo anaekupa mauwa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Shemela vipshemela shululu mzee wa kuhesabu we na binamu wazee wa hizi kazi
binamu mambo mengine sio mpaka ufundishwe we mtu mzima ujue ungeanza kumpa mama mchuchu maua mpaka nikwambie binamu kweliiiYaani wewe , haina kwere....nilijua ndo muda sasa wa kunipamba
KabisaaPole kwa kukwamishwa na simu, hizi simu wakati mwingine majanga tu. Bora landline za ttcl
Yaani binamu yako ana akili sana, habari za cheusi mangala alishakupotezea kabisa, kisa kuhesabushemela shululu mzee wa kuhesabu we na binamu wazee wa hizi kazi

ni poa shemela wazee wa zile kazi nimeona binamu amekuita hapoShemela vip
Sasa atafanyaje kwa mfanohahaha ameamua kukubaliana na hali
Nilipiga dozi la nusu kaputi tatu kwa siku saivi niko safi tu nachokumbuka ni ndoto tu![]()
![]()
![]()
Naamini stress zmeshapungua now
Kwa niaba ya mshengaMama yangu sitaki uwe bored sababu mukongo hayupo anaekupa mauwa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()