Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,294
Uko singo?Yule sio km unavyofikiliA shemeji mi niko single now yule ni mpendwa tu nothing happened
Mi nilijua triple et!
Uko singo?Yule sio km unavyofikiliA shemeji mi niko single now yule ni mpendwa tu nothing happened
Na maisha kiujumlaNa nini ?![]()
![]()
GoodMimi tena niko fitty
Nasubiri hiyo fix kwa hamuSema madenge. Nina kisa cha kweli cha kusikitisha na kufundisha kuhusu hawa mademu wa mitandaoni. Nitakisimulia siku moja nikiweza.
Shedede ni mtani wangu sema tu alinichanganya alipoanza ishu za uchawi. Husna ni shemeji for life japo naye kwa sasa anasumbuliwa na binamu (ambaye according to Lee ndiye anastahili kuitwa mzee wa totoz). Hata status ya ushemeji wangu haijulikani tena! Nimeachwa tu nipo nipo...
Ukonde kwa kipi hasa?!Ulijua nitakonda![]()
Nipo braza. Uko poa wewe? Endelea kusaka hela. Mengine yatajileta tu!Habar zako mkuu SHIMBA?
hapana mke mwee kweli anakuita ujue ndio mana story haziwekwi![]()
![]()
ukorofi wako huo
Muziki: Kuhama Mtaa
Ninyi ni watu wema sana, huwa nakuwa na wakati mzuri sana nikiwa hapa na hili si uongo wala makidai, Ndo ukweli na ukweli siku zote hata ukifukiwa futi sita chini utaibuka tu, huwa ni suala la muda tu na wala si kitu kingine. Hongera kwetu tunaojitahidi angalau kusema kweli japo mara chache kuliko nyingi za uongo. Sisi ni binadamu.
Nimefurahia segment ya Makapuku TV, hii itakuwa ni bomb, hoping itapangwa muda mzuri ili zisiingiliane na nyingine.
Jana nilipotea, yeah, ni vizuri nikashare nanyi maana tangu mwenye nyumba aanze kunisalimia kila siku (salamu maana yake anakumbushia nilipe kodi ya nyumba, ni haki yake lakini si kwa salamu zinazozidi kipimo). Nimeamua kuhama, naamu nahama maana kwanza nimesikia tetesi anaongeza kodi ya nyumba. Ni nyumba yake afanye analotaka na kodi ni yangu naamua navyotaka.
Mnakumbuka mwezi jana ulikuwa wa neema kwangu, kwanza nilinunua saa mpya, solar automatic. Then, baadaye yaani after that nikapewa simu ya tachi na funga kazi sasa nimeingiza flat scrini ndani na hapo sasa ndo maneno yalipoanza na vituko. Dirisha la chumbani limechwana mtindo wa sambusa, walitaka kupora simu wakaondoka na chaja, kama kuna member yeyote anakodisha chaja aweke tangazo, au vipi aniazime bila kuweka sharti la kurudishiwa. Mkopaji jeuri.
Nisikuchoshe bhana maana najikuta naongea sana. Kuna mtu aliniambia naongea sana kwa sababu nilichelewa kutembea, sio kosa lake maana ndo aliyenizaa.
Muziki na kuhama leo, nimekupigisha sound mvua hapo juu lakini lengo langu nataka tu umsikize Shaggy, yeah Mr Lavalava. Enzi hizo miziki ya kutengenezwa studio ndo inawika sanaa na japo huu wimbo ni wa studio lakini nimewahi kuwaona jamaa hapa mjini wanaucheza live gitaa nyingi na vinanda, utapenda.
Hadi hapo wakati mwingine Makapuku ni sehemu nzuri kwa sababu tu wewe u sehemu yake
Tahadhari: Muziki huu raha yake uwe na simu zile za kichina zenye spika nane na subufa, wenye Samsung, LG, Iphone na nyingine za makabila ya original inabidi muwe wataulivu sisi wenye Samsing, Itel6, Yutong4 tufaudu
Uongo umeanza lin mke mweeeehapana mke mwee kweli anakuita ujue ndio mana story haziwekwi
Ndonacho fanya et! Thanks mkuuNipo braza. Uko poa wewe? Endelea kusaka hela. Mengine yatajileta tu!
Kuachwa kuachwaUkonde kwa kipi hasa?!



Heee...!!!Kuachwa kuachwa
Kuachwa ni shughuri pevu!
Mbaya zaidi kwa yule unayempenda wewe unakonda(yaani mimi) yeye ananenepa
Kwa mawazoooo mawazoooo![]()