Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,294
hahahah sasa hivi kabadili majina kuna makinikia na wavamizi haramu sijui kitu kama hiko huyo ndio binamu bana nishamzoea mieYaani binamu yako ana akili sana, habari za cheusi mangala alishakupotezea kabisa, kisa kuhesabu![]()
![]()
![]()
na kweli akubaliane na hali tu ndio ishakuwa kuna maisha bada ya mapenziSasa atafanyaje kwa mfano
Zenyewe zina niniPole kwa kukwamishwa na simu, hizi simu wakati mwingine majanga tu. Bora landline za ttcl

pole jamaan ndio ukubwaNilipiga dozi la nusu kaputi tatu kwa siku saivi niko safi tu nachokumbuka ni ndoto tu
furahi tu mama yangu
hivi ni simu ganiiiZenyewe zina nini![]()
![]()
![]()
Yaani wewe , haina kwere....nilijua ndo muda sasa wa kunipamba
umeona
nampenda ujue mama yangu shemela halaf mauwa alishayazoea
Am proud to be lonelyna kweli akubaliane na hali tu ndio ishakuwa kuna maisha bada ya mapenzi

kwa niaba ya mushenga mukongoooKwa niaba ya mshenga
he he msalimie geishaAm proud to be lonely![]()
![]()
Hapana Madenge. Halikuwa dume. Alikuwa ni mwanamke tena mrembo kweli Shunie cha mtoto. Nadhani ni Mungu Alitaka kunifundisha kitu. Nikisahau kisa hiki nikumbushe nikiweke hapa. Maisha ni mapito rafiki yangu!Nasubiri hiyo fix kwa hamu
Nahisi ulito ngoza dume lililojifanya demu
![]()
![]()
![]()
......
Sisi ndio wahamiaji haramuhahahah sasa hivi kabadili majina kuna makinikia na wavamizi haramu sijui kitu kama hiko huyo ndio binamu bana nishamzoea mie

Nishapoapole jamaan ndio ukubwa

kumbe ndio nyie na makinikia ndio wakina cheusi mangala na muuza nini sijuiSisi ndio wahamiaji haramu![]()
![]()
![]()
![]()
Ttclhivi ni simu ganiii
nimeacha hizo mambo mie sitaki kabisa kila atumie mbinu zake kama domo zege poyeeeNishapoa
Sasa shunie eh nifanyie fanyie kampango kengine![]()
![]()