shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Yupo, mzima kabisaSalama ankali, auntie yangu nae sijamuona..... Hivi yupo? Hajambo?
Yupo, mzima kabisaSalama ankali, auntie yangu nae sijamuona..... Hivi yupo? Hajambo?
Kila siku nasema hizi fitna nazopigwa lazima kuna mkono wa mtu tu, hii si kawaida jameni

Nipe link basiha hahahahaaaa, hebu ukipata nafasi isome news ya huko Marikani ambayo jamaa kajiua kwa sababu mpenzi wake alikuwa akimuandikia texts akimsihi ajiue wawe kama Romeo and Juliet
Sema na kutoswa nielewe mapemaNa maisha kiujumla






PowaaGood

Haina noma mfugaji / mchungajiWadau leo 10 haikiwepo sababu nilikuwa na dharura
Ikiwezekana nitawafidia Jumamosi au Jumapili
......
Wapendwa katika bwanaAsante kwa kushukuru mpendwa
Unajua sana kuchagua maua yanayoufurahisha moyo wangu. Asante mpendwa
Yeah, umetulia sana huo wimbo, enzi hizo naenda disco na patner wangu kavaa nguo ya kumpa uhuru anapocheza. Sio siku hizi disco si wanaume wala wanawake wamevaa jinsi hata kina Shululu wanaohesabu wanashindwa kuzihesabu

Ww na SHIMBA nafikiri mna undugu wa mbali mkizungumxia mapenzi mbavu zinatuumaKuachwa kuachwa
Kuachwa ni shughuri pevu!
Mbaya zaidi kwa yule unayempenda wewe unakonda(yaani mimi) yeye ananenepa
Kwa mawazoooo mawazoooo![]()
Poa poa bitozWadau leo 10 haikiwepo sababu nilikuwa na dharura
Ikiwezekana nitawafidia Jumamosi au Jumapili
......