Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,495
- 35,288
Upo nduguNzuri mkuu
Upo nduguNzuri mkuu
Ipo wapi SHIMBA YA ANGAZA?
Ile Musukuma ya Koromoje imeadimika sana
Oyaa jomba kuja hapa na mtani wako Shedere mutu ya ng'ombe
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
.......

Ipo wapi SHIMBA YA ANGAZA?
Ile Musukuma ya Koromoje imeadimika sana
Oyaa jomba kuja hapa na mtani wako Shedere mutu ya ng'ombe
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
.......
we madenge unaharibu majina ya watu ujueKwa msaada sasa hivi hapo Muhimbili ipo project kubwa inaendelea ya vipimo ,chanjo na tiba ...kwa malipo cash na kadi za bima zinatumika..ni vizuri kwendaKwa sasa watu wengi wanaasilika sana na ini, ni vizuri kucheck afya zetu mara kwa mara na kuchoma chanjo ya homa ya manjano
Shululu Wa tumosaPamoja sana husna muba
Very!!Amazing story!!
Amen shem wane

1960 - Mali yajipatia Uhuru wake toka kwa Ufaransa.
Nawe pia mkuuAhsanteni wote mlionitoa matongotongo asubuhi hii kwa mawili matatu
Mama Mchungaji maombi yako hadi sisi "wapagani" samtaimu yanatugusa
Mbarikiwe wote
Niwatakie siku njema
......
Chaplin
Yeah,niliekeze vingunguti nataka nikaombe kazi ya uchinjaji mbuziPole sana, unahitaji msaada wa kuelekezwa?
Au nimechapia?
Mutu flani hivi ya Husna
Sijui waligombanaga wakiwa beach huko naona couple yao imepoa km juisi ya feri
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
......
afu weweeee umefanya mpaka punje ya ubwabwa imenipalia kwa kicheko khaa... Watu MNA mineno ndio maana natamani kuwajuaKutoka ulinzi mpaka uloziMlinzi wako wa zamani![]()
![]()
![]()
Anamjua banaa anazuga tuMadenge![]()
![]()
![]()
![]()
Humjui shedede kweliiii ??
ila kanichekeshaa kweli yanYeah endelea kusubiri hivyo hivyo*Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupeleke moja kwa moja had marekani" nikazima TV kwa haraka nikaenda kuvaa viatu. Hadi sasa bado nimekaa hapa seblennahisi bado wanaihangaikia Visa yangu*
![]()
Iko muzuriHabari habari