Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Pamoja mkuuNiko poaa mkuu
Pamoja mkuuNiko poaa mkuu
Habari ya kuamka mkuuMorning
Pouwaaaaaa VP wewe mkuluMambo
Niko poa mweeUko poa lakini mme mwee
Waaachee maujingaa yaoooKwakuwa wanawapenda ama?!![]()
Asante kwa kuyapitia mama mchungajiAsante sana mkuu Shululu na Husna Muba kwa magazeti kazi yenu ni njema mbarikiwe
Hiyo ndio bongoMhariri alilala TFD ndio taasisi gani mimi ninaifahamu TFDA
Amazing story!!
Shukrani mkuuTuwe na siku njemaa ...
Kwa sasa watu wengi wanaasilika sana na ini, ni vizuri kucheck afya zetu mara kwa mara na kuchoma chanjo ya homa ya manjanoNadhani ni muhimu kupima afya mara kwa mara maana kufariki ghafla ni masuala ya presha,moyo,sukari,pumu,homa ya ini na kutokana na mazoezi makali ni rahisi kufariki ghafla tu
Nzuri, panda mlima mkuu utayakutaMagazetiiii please niyapitie
Shululu habari yako
Shukrani sana shululu wa Tumosa
Pamoja na mdhamini wetu husna muba
Muwe na siku njema

Hii ndio darubini ya KeplerWANASAYANSI WAGUNDUA SAYARI NYINGINE YENYE UHAI...
![]()
...........Wataalam wa maswala ya angani wametangaza ugunduzi wa sayari nyengine kumi angani ambazo huenda zinaweza kusaidia uhai.
Wanasayansi wa shirika linaloshughulikia maswala ya angani NASA wanasema kuwa data mpya iliochunguzwa kutoka kwa darubini ya Kepler inaonyesha sayari kumi zenye miamba ambazo zipo hatua chache kutoka kwa mkusanyiko wa nyota.
Sayari hizo ambazo zinatoshana na dunia, zote zipo nje ya jua katika mkusanyiko huo wa nyota.
Darubini hiyo ya Kepler sasa imegundua jumla ya sayari 50 katika maeneo tofauti yenye uhai angani.
Asante Nyagei
Shemeji za kuamkaHabari za asubuhi wakuu
Haya ndio madini mkuuCHANJO YA MAGONJWA YA MOYO YAVUMBULIWA
Shirika la utafiti wa kisayansi kutoka nchini Netherlands limeanza kufanya majaribio kwa wanadamu ya chanjo ya kupunguza kiwango cha mafuta katika mwili wa mwanaadamu na kwamba endapo utafiti huo utafanikiwa; wana matumaini kuwa chanjo hiyo itakuwa na uwezo wa kuzuia magonjwa ya moyo.
Watafiti hao wameeleza kuwa majaribio yao waliyokwisha kuyafanya dhidi ya panya yanaonesha kwamba chanjo hiyo imefanikiwa kuzuia na kuacha kuimarisha amana ya mafuta katika mishipa ya damu.
Imearifiwa kuwa chanjo hiyo ina uwezo wa kufanya mfumo wa kinga ya mwili kukabiliana na mafuta yasiyohitajika kutoka katika damu.
![]()
Wanasayansi hao wanaamini kuwa chanjo hiyo inaweza kutumika kama njia mbadala wa zilizokuwa za kupunguza mafuta , pamoja na kuwasaidia, mamilioni ya watu ulimwenguni kupambana na mafuta yasiyohitajika mwilini.
Inatarajiwa kuchukua takriban miaka sita ili vipimo hivyo kukamilika.
![]()

Aisee wanasayansi hawalaliWANASAYANSI WAGUNDUA SAYARI NYINGINE YENYE UHAI...
![]()
...........Wataalam wa maswala ya angani wametangaza ugunduzi wa sayari nyengine kumi angani ambazo huenda zinaweza kusaidia uhai.
Wanasayansi wa shirika linaloshughulikia maswala ya angani NASA wanasema kuwa data mpya iliochunguzwa kutoka kwa darubini ya Kepler inaonyesha sayari kumi zenye miamba ambazo zipo hatua chache kutoka kwa mkusanyiko wa nyota.
Sayari hizo ambazo zinatoshana na dunia, zote zipo nje ya jua katika mkusanyiko huo wa nyota.
Darubini hiyo ya Kepler sasa imegundua jumla ya sayari 50 katika maeneo tofauti yenye uhai angani.