Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
1976 - Juliano Belleti anazaliwa.
Beki wa kulia wa zamani wa Barcelona, Chelsea na timu ya taifa ya Brazil.
Alitwaa Uefa Champions League mwaka 2006 wakati Barca ikiifunga Arsenal 2-1 huku yeye akifunga goli la Ushindi.
Pia ametwaa Kombe la Dunia mwaka 2002 akiwa na Brazil.
Nakumbuka Jens Lehmann alochezea umeme mwanzoni kabisa ya kipindi cha kwanza hivyo timu kuwa 10 muda mrefu
.....


