Makapuku Forum

Makapuku Forum

1949 - Lionel Richie anazaliwa.

Mwanamuziki mahiri kutoka nchini Marekani.

Pia alikuwepo kwenye kibao cha We are the world cha mwaka 1985 kilichoandaliwa na Michae Jackson " MJ " kwa ajili ya kuchangisha fedha kusaidia Nchi za Africa zilizokumbwa na Ukame na Njaa.
58c443335f207e18d1091331c6a42faf.jpg
9eaf23885bfb0e1a77c8ce6451929962.jpg
Akiwa na Wacko Jacko
625c08b0181448d0edbe9212ebd52530.jpg

Nasikia jamaa ni kiwembe sijui ana watoto wangapi
.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom