Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
1949 - Lionel Richie anazaliwa.
Mwanamuziki mahiri kutoka nchini Marekani.
Pia alikuwepo kwenye kibao cha We are the world cha mwaka 1985 kilichoandaliwa na Michae Jackson " MJ " kwa ajili ya kuchangisha fedha kusaidia Nchi za Africa zilizokumbwa na Ukame na Njaa.
Nasikia jamaa ni kiwembe sijui ana watoto wangapi
.....


