Makapuku Forum

Makapuku Forum

1949 - Lionel Richie anazaliwa.

Mwanamuziki mahiri kutoka nchini Marekani.

Pia alikuwepo kwenye kibao cha We are the world cha mwaka 1985 kilichoandaliwa na Michae Jackson " MJ " kwa ajili ya kuchangisha fedha kusaidia Nchi za Africa zilizokumbwa na Ukame na Njaa.
58c443335f207e18d1091331c6a42faf.jpg
9eaf23885bfb0e1a77c8ce6451929962.jpg
Akiwa na Wacko Jacko
625c08b0181448d0edbe9212ebd52530.jpg

Nasikia jamaa ni kiwembe sijui ana watoto wangapi
.....
 
*Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupeleke moja kwa moja had marekani" nikazima TV kwa haraka nikaenda kuvaa viatu. Hadi sasa bado nimekaa hapa seblen[emoji41][emoji41] nahisi bado wanaihangaikia Visa yangu*
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom