Makapuku Forum

Makapuku Forum

9/Don Koehler
a36c05735f9cb0e5b788b44136c13463.jpg
akiwa na pacha wake
fdea1834d1e01c9c66d2b91d83db7d99.jpg
19398e38a19b8a3119189b33b6dc555a.jpg

Huyu bwana ni Mmarekani aliyezaliwa mwaka 1925
Alikuwa na urefu wa kawaida tu hadi alipofikisha umri wa miaka 10 akaanza kurefuka
Alishikilia rekodi ya dunia kuanzia mwaka 1969 hadi pale alipofariki dunia mwaka 1981 akiwa na umri wa miaka 56 ...alipigwa risasi kwa bahari mbaya
Alikuwa na pacha wake wa kike ambaye Alikuwa na urefu wa kawaida tu wa futi 5 na inchi 9 na hivyo wanashikilia rekodi ya mapacha wenye tofauti kubwa ya urefu kwenye Guinness Book of World Records
Ana urefu wa Futi 8 na inchi 2
........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom