Wachina watu wabaya sana
Ila pia Tanzania haina tatizo la upatikanaji wa mchele sema watu wa mjini "usasa mwingi" mfano watu hata maji ya kunywa tu eti wananunua supermarket wakati maji ya bomba yamejaa tele
Waache tu saratani ziwamalize
.......
Nina swaga gani mimi mbali na kujivunia Kolomije kwetu? Mimi hata nitajirike niwe bilionea nitabakia hivi hivi tu. Kama huwa naonekana nina swaga basi mnisamehe na kunivumilia...