Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
mambo ya shanga 40 sijui 30Sijaonaaaaa
mambo ya shanga 40 sijui 30Sijaonaaaaa
Umbea upiii kwan hatukutana ...alafu mkuu ebhu jaribu kuwa na maneno ya kiutani mengine hayafai kabisaUmeanza! Umbea waachie akina Mama D...
Obe anapewa maua na husna, ndio akasema anasubiri shimba ya buyenze akija atasemaje (atapokeaje)Nina swaga gani mimi mbali na kujivunia Kolomije kwetu? Mimi hata nitajirike niwe bilionea nitabakia hivi hivi tu. Kama huwa naonekana nina swaga basi mnisamehe na kunivumilia...
sishangai Baba D hata Yesu alikanwa na wanafunzi wakeSimu nilikuwa nayo usiku tuu na wewe ulimfitiniii mchana
Swaga za kishashi ndo zikoje hizo? Watu mna maneno aisee......nimemuona shedede katokelezea na swagga za kishashi
Nashukuru kwa kulitambua hiloAliniambiaa
Yaaaaaan nakulooveeeeBaba D ujue hayo makiss ni kila sehemu ya mwili![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
si nitakuwa mwekundu mimi jamaan
![]()
ndio mautani yenu hayo me ndio mana sitaki kabisaUmbea upiii kwan hatukutana ...alafu mkuu ebhu jaribu kuwa na maneno ya kiutani mengine hayafai kabisa
kuhusu mama mchuchu wananisingizia jana simu yangu kutwa nzima alikua nayo Baba D kwahiyo kama kuna vitu vimesemwa ni Baba D ndio kaaandika binamu sio mimi hivi naanzaje binamu yangu ninavyokupenda uwe na furaha
Naskia binamu yako ndo mtaalamu wa ku-count down shanga'smambo ya shanga 40 sijui 30

Sijasemamambo ya shanga 40 sijui 30
Kufitini BH aciende kwa Obemtuhumiwa wa nini mke mwee
me naweza nikaandika kuhusu wewe hata nisimalize nakupenda jamaan Baba D wangu mieYaaaaaan nakulooveeee

Kwaiyo alivyo niandika kwenye mkono wake ulionaga choyo..kusoma hujui, hata picha unaigeuza
![]()

Nipo, naona baba D hajakujibushemela ukujee
Sema ndio kubari yaisheCc.husna muba
Kaa ukijua hatujaachana bado sababu tulifunga pingu za maisha.
Funguo tulimpa shekh akazitupa mbali...
Ningumu kuachana kirahisi kiivyo
I love you[/red]
Akipewa nyembu ndo mnitonye. Maua ndo nini? Si ajabu shemeji anacheza na akili zake tu kama alivyokuwa anacheza na akili za ShededeObe anapewa maua na husna, ndio akasema anasubiri shimba ya buyenze akija atasemaje (atapokeaje)


