Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ha hahahahah.

giphy.gif
ila binamu wewe
 
Maaaaweeeeeee, hakyanani nilijua tu. Wewe unaniteteaga sana sasa nikajiuliza vipi ujue naumwa na umeona BH anataka kuja uanze kunizibia tena. yalikuwa ni mawazo sasa umenifungua, alikuwa ni anko wangu mwenyewe kabisa.

Ndo maana haipiti nusu saa ananiulizia kama mgeni kafika kumbe anajua alichofanya. Nashukuru kwa taarifa aunt yangu, uzidi kubarikiwa uwe na moyo mwema na ila siku nyiingine hakikisha simu yako haichukui bhana, unaona nilitaka kuchuma dhambi bure kwa kukusingizia. Nisamehe kwa kweli
Kesi imeisha
 
Kwaiyo alivyo niandika kwenye mkono wake ulionaga choyo [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]


...yanini nione choyo au donge kwa jina lako kuandikwa mkononi tena kwa kalamu ya wino. Pale tu kenda kukoga jina likapotea. Lingeandikwa moyoni hapo ungekuwa na ubavu wa kunituhumu.

Unajua kuachika na kukataliwa ni mtihani sana. Vumilia
 
Nipo mkuu. Umerudi umekuta ushapigwa chini akina binamu bila aibu wameshajitwalia mke. Ndo dunia hiyo. Piga moyo konde na usonge mbele. Kuna Aganza waambie mabosi wa hapa wakuunganishe [emoji23][emoji23][emoji23]
AGANZA duuh huyo mi simuwezi bora niwe bachelor[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom