Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Hongera na asanteMimi Niko mahome karibuni sana Arusha nasubiria cha mchana hapa
Nko poa cjui wwAsante mama watoto wangu, uko poa lakini
Mungu akutie nguvuAsante kwa ushauri niatafanya hivyo kujitolex kwanza
ZABURI 133
1 Tazama ulivyo vema na kupendeza Ndugu wakae pamoja kwa umoja
2 Ni kama mafuta mazuri kichwani Yashukayo ndevuni ndevu za Haruni Yashukayo mpaka upindo wa mavazi yake
3 Kama umande wa Hermoni ushukao milimani pa Sayuni maana ndiko BWANA aliko amuru Baraka Naam uzima hata milele
Kupitia wimbo huu wa mfalme Daudi, tunakumbushwa kuwa na UMOJA katika maisha ya kila siku katika familia jamii na taifa MUNGU anapendezwa na UMOJA kama alivyodhihirisha katika UTATU wake wa BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU
MUNGU BABA asante kutuamsha tena asante kwa NENO "UMOJA"wewe uliye asili ya mema yote utupe huo UMOJA na UPENDO maishani mwetu utuimarishe kila mmoja kwa mwenzake katika familia na jirani zetu na hata taifa letu kipekee ulibariki kundi hili la MAKAPUKU lidumu katika kujifunza bariki kazi za mikono yetu biashara na wanaotutazama wauone Ukuu wako wapate kukutukuza katika jina la Yesu Kristo Amen Asante
![]()
NAWATAKIA JUMAPILI NJEMA IBADA NJEMA MBARIKIWE![]()
![]()
na kwako pia mamaMarahaba mwanangu wa Lee za uzima zaibada za jumapili ubarikiwe mwanangu Love you sanaaaashikamoo mama yangu

Vpi ushaweka ile ktu kule mahali
Mke mweee mambowe unajali kila siku Baba D sio leo tu![]()
Imewekwa mama we endlea tumke mwee hivi story imewekwa niendelee kupanda au
Nzuri sana Mama yangu ubarikiwe sana na wewe Love u moree moreeMarahaba mwanangu wa Lee za uzima zaibada za jumapili ubarikiwe mwanangu Love you sanaaaa![]()
![]()

poa mke mwee za weweMke mweee mambo
acha nimpe hongera Baba watoto mke mwee
nimeshasoma mke mweeImewekwa mama we endlea tu
Nko poapoa mke mwee za wewe
Happy Father's Day Baba DLeo mda muafaka wa kushinda na watoto wetu kwa upendo na furaha zaidi ...ata ambao hatushindi makwetu leo tujitahid....siku yetu