Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Kwelii kabisa

Kwelii kabisa

KVP labda?!Kwan shuny wamuonaje
AiseeUF...
![]()
Za siku mzee mwenzanguNzuri shemela wa mimi, za nyumbani na D hajambo?
Karibu mkuu
Shukrani mkuuMkuuKwemaa
Daah mkuu, hatimaye uko ndani ya mahaba mazito kama mchanga wa dhahabuNiko poa kabisa my swi
Hongera kwa 217kKaribu mkuu
Nzuri kabisa, habari za sikuZa siku mzee mwenzangu
Mdogo mdogo tu mkuu, hiyo ni sehemu ya maisha yetu hapa dunianiDaah mkuu, hatimaye uko ndani ya mahaba mazito kama mchanga wa dhahabu
Ahsante sana mama mchungajiZABURI 133
1 Tazama ulivyo vema na kupendeza Ndugu wakae pamoja kwa umoja
2 Ni kama mafuta mazuri kichwani Yashukayo ndevuni ndevu za Haruni Yashukayo mpaka upindo wa mavazi yake
3 Kama umande wa Hermoni ushukao milimani pa Sayuni maana ndiko BWANA aliko amuru Baraka Naam uzima hata milele
Kupitia wimbo huu wa mfalme Daudi, tunakumbushwa kuwa na UMOJA katika maisha ya kila siku katika familia jamii na taifa MUNGU anapendezwa na UMOJA kama alivyodhihirisha katika UTATU wake wa BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU
MUNGU BABA asante kutuamsha tena asante kwa NENO "UMOJA"wewe uliye asili ya mema yote utupe huo UMOJA na UPENDO maishani mwetu utuimarishe kila mmoja kwa mwenzake katika familia na jirani zetu na hata taifa letu kipekee ulibariki kundi hili la MAKAPUKU lidumu katika kujifunza bariki kazi za mikono yetu biashara na wanaotutazama wauone Ukuu wako wapate kukutukuza katika jina la Yesu Kristo Amen Asante
![]()
NAWATAKIA JUMAPILI NJEMA IBADA NJEMA MBARIKIWE![]()
![]()
WAGALATIA 6

Ahsante kwa magazeti shululu
Karibu sanaAhsante sana mama mchungaji
WAGALATIA 6
9. Tena tusichoke katika kutenda mema ;maana tutavuna kwa wakati wake tusipozimia moyo.
10.Kwa hiyo kadri tupatavyo nafasi na tuwatendee watu wote mema.......
NAWATAKIA MCHANA MWEMA MBARIKIWE![]()
![]()
![]()

shemela za wwAhsante sana mama mchungaji
Naomba maua
Mdogo mdogo tu mkuu, hiyo ni sehemu ya maisha yetu hapa duniani

hajambo shemelaNzuri shemela wa mimi, za nyumbani na D hajambo?
Baba D jamaan naanzaje ili tuanze kubembelezana hapa kuhusu kuweka storyHujaquote? ?