Makapuku Forum

Makapuku Forum

8152ebcd4cecc9d8063f02ee0b6ad78b.jpg
Hii iko hivi;

Jamaa ni mtumiaji wa vilevi ( hasa sigara) kama picha ilivyo.

Mtumiaji wa kilevi anatumia bila kujua athari ambazo zinampata yeye.

Nje ya mwili anaona moshi na anahisi yuko salama ila ndani ya mwili kuna bomu linajitengeneza..

Haina tofauti na zile baruti za kutumia tambi/ yaani explosion inakuwa ipo mahali theni source of fire inatokea mbali...

Hiki ndicho kinachoendele hapa..

I stand to be corrected
 
Nadadavua hii hapa:

Jamaa anaonekana kuwa yuko kifungoni/kizuizini..

Angalia jamaa kafungwa mikono kwa minyororo ni ishara ya kuwa kifungoni

Jamaa yuko naked, manake hana uhuru au yuko kwenye sehemu hana privacy..

Ndege ndio mkombozi wa jamaa, ndege ndio mtetezi ila mteteze asijekiwa na uwezo, angalia pembeni kuna manenon kah ! Kah ! ...

-Maana ya hayo maneno ni sauti ya ndege akijaribu kukaga cheni kitu ambacho ni kigumu.

Ila pia kuna jani chini pembeni ya ndege...! Labda ndege anajaribu kulimlisha jamaa.



Mwisho; jamaa yuko kifungoni, mtetezi wake hana nguvu ya kumsaidia; ni ndoto kwa huyo ndege kukata cheni

I stand to be corrected.
Wenda it's true

Ila nahisi hapo kuna fumbo kubwa tu
 
Hii iko hivi;

Jamaa ni mtumiaji wa vilevi ( hasa sigara) kama picha ilivyo.

Mtumiaji wa kilevi anatumia bila kujua athari ambazo zinampata yeye.

Nje ya mwili anaona moshi na anahisi yuko salama ila ndani ya mwili kuna bomu linajitengeneza..

Haina tofauti na zile baruti za kutumia tambi/ yaani explosion inakuwa ipo mahali theni source of fire inatokea mbali...

Hiki ndicho kinachoendele hapa..

I stand to be corrected
Shingo yake inaonekana ndefu kweli inaonyesha amekondeana sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom