Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Zamani Wikend
Sitokuwa na mengi maana naona Jumamosi inataka kupita bila burudani. Tupate muziki wa zamani kidogo tena wa taratibu..
Binamu asante
Zamani Wikend
Sitokuwa na mengi maana naona Jumamosi inataka kupita bila burudani. Tupate muziki wa zamani kidogo tena wa taratibu..
ila shemela weweKwani tatizo ni nini
Namba 05...
Nahodha wa Simba, Kiungo Jonas Mkude amesaini mkataba wa miaka miwili wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo na![]()

Niliisoma asubuhi, baadhi ya makomando walipelekwa hospital ya kijeshi ya marekaniNamba 10. .
Wanajeshi saba wanamaji wa Marekani hawajulikani waliko baada ya meli yao kugongana na meli ya mizigo ya Ufilipino kusini mwa pwani ya Tokyo ..![]()
mmhNilikuwa na have funny you know how could people behave like...
Ule uzi vipMi sio mchawi na uhandsome nilio nao niwe mchawi hapana bhna![]()
safi Jimena za wwHabari zenu Makapuku?
hivi handsome anajisifiaga eenhMi sio mchawi na uhandsome nilio nao niwe mchawi hapana bhna![]()
Wamechelewa kutoa taarifa, tangu kama wiki moja hivi iliyopita hali ya hewa hasa upepo ukanda wa pwani ya bahari ya hindi Kuna upepo mkali sana, japo mwezi wa saba utakuwa zaidi ya huu wa sasa, hata jet za azam zinapata shida kipindi hikiNamba 06..
Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini yatoa tahadhari kuwepo upepo mkali na mawimbi makubwa baharini katika maeneo ya Mwambao wa Pwani Jumapili hii
Ankali sio kwa kupotea hukoHabari zenu Makapuku?
Nahisi hilo ndio limekuponzaMi sio mchawi bhna
Its just a swaagg you know
Haaaaahaaaa aiseeYaani swaaga zooote, ukaona uchawi ndo swaga kweeli
hahahh! basi sakayo anataka kurogwa ebu mfanyie mambo yako!
NimeishakujaAnakuja
Lee unaitwa na mzee wa call me j