shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Anajua hawezi kurogwakheee
Anajua hawezi kurogwakheee
Nadadavua hii hapa:
Angalia jamaa kafungwa mikono kwa minyororo ni ishara ya kuwa kifungoni
Jamaa yuko naked, manake hana uhuru au yuko kwenye sehemu hana privacy..
Ndege ndio mkombozi wa jamaa, ndege ndio mtetezi ila mteteze asijekiwa na uwezo, angalia pembeni kuna manenon kah ! Kah ! ...

Utapata tu blooder
Nini tena shemela wanguila shemela wewe
Aisee
Mefanya nini??Acha mambo zako wewe
Shedede ni mchawi ujue
Tatizo analijua shem wako husnaKwani tatizo ni nini
Ule uzi unakuumbuaTatizo analijua shem wako husna
Just nilikuwa nahave funny ilikuwa cheat chart watu wakaibeba sereousUle uzi vip
kweli shemela tumpe pole binamu
hivi handsome anajisifiaga eenh
shemela ujue we mchochezi mpaka mkeo umeshamuambukizaNini tena shemela wangu
Uzalendo wa viongozi wetu upo midomoni wala sio mioyoni ndio maana tunaendelea kunyonywa kila siku.Hii ni inamaanisha namna makampuni makubwa yanavyoneemeka na mali za masikini, hawezi kufanya kitu bila wao, ndio maana vikwazo vya kiuchumi huwa zinaharibu nchi pamoja na watu wake, mfano Zimbabwe, Somalia
hongera basi handsome weweBaadhi hawajisifii
Kwani kuna ubaya??
Duuh mkuu avatar yako nimejaribu kuielewa nimeishia kuogopaanaomba apigwe kimbweta a.k.a juju!
😀 😀 😀
