Makapuku Forum

Makapuku Forum

afea2777c119918c945b5148d4bb8dd2.jpg
Nadadavua hii hapa:

Jamaa anaonekana kuwa yuko kifungoni/kizuizini..

Angalia jamaa kafungwa mikono kwa minyororo ni ishara ya kuwa kifungoni

Jamaa yuko naked, manake hana uhuru au yuko kwenye sehemu hana privacy..

Ndege ndio mkombozi wa jamaa, ndege ndio mtetezi ila mteteze asijekiwa na uwezo, angalia pembeni kuna manenon kah ! Kah ! ...

-Maana ya hayo maneno ni sauti ya ndege akijaribu kukaga cheni kitu ambacho ni kigumu.

Ila pia kuna jani chini pembeni ya ndege...! Labda ndege anajaribu kulimlisha jamaa.



Mwisho; jamaa yuko kifungoni, mtetezi wake hana nguvu ya kumsaidia; ni ndoto kwa huyo ndege kukata cheni

I stand to be corrected.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom