Ha ahahahahah, umenikumbusha kitu kilichokuwa kikinifanya kumsaidia dada mmoja kazi za bustani ili tu niweze kusoma gazeti la sani miaka hiyo. Mmoja wa wachezaji hapo ni Mapung'o, Mundu, kobelo na Chepe
Lodilofa alikuwa ni kiungo wa borntown sawa na kina Pimbi, bob mazishi