Makapuku Forum

Makapuku Forum

USAJILI ULIOKAMALIKA PALE UINGEREZA
54ab2fcf99c5c369306429bbf901ed19.jpg
 
Habari za jumamosi
Kwema mdau
Afadhali umekuja.....kuna pipo zinafikiri huu uzi ni kwa ajili ya kushindana na watu fulani au kupeana maLIKE

Wewe ni mfano mzuri japo umeanzisha uzi lakini huingii kila muda ili kupost post bali unapopata muda tu....
Hivyo waelewe uzi sio wa mashindano ya kupost wala kupeana maLIKE bali kudumisha urafiki na kupeana maarifa mawili matatu
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom