Makapuku Forum

Makapuku Forum

4d2290818acf55c6370b09970b9b3928.jpg
Aisee
 
MIKA 7

18 Ee MUNGU ni nani aliye kama wewe? Wewe wasamehe dhambi za watu wako waliobaki wala huyaangalii makosa yao Hasira yako haidumu milele ila wapendelea zaidi. kutuonesha fadhili zako

19. Utatuhurumia tena utafutilia mbali dhambi zetu utazitupa zote katika vilindi vya bahari

20 Utaonesha uaminifu wako na rehema zako kwa wazawa wa Abraham na Yakobo, kama ulivyowaahidi wazee wetu tangu zamani


WAPENDWA MUNGU ANATUPENDA SANA NDIO MAANA TUPO HAPA NA TUNASOMA UJUMBE HUU TUMRUDIE YEYE SIKU ZOTE TUJUTE NA TUTUBU DHAMBI ZETU ANASAMEHE NI AHADI YAKE KWETU WATOTO WAKE MUWE NA MCHANA MWEMA MBARIKIWE
amen
shikamoo
 
Hatari sana! Uzi unakimbia balaa..., naona wanataka kutuzidi umaarufu!
Umaarufu wa mtu au uzi unarokana na kilichoandikwa na siyo wingi wa like alizonazo mtu
Yaani maneno yako ndo hukaa moyoni kwa mtu likes zako hukaa kwenye profile tu pengine kwenye list ya Top 20

Pia uzi unaweza kuwa na post nyingi kila siku lakini ukafuatiliwa na wachache yaani Kusubscribe mfano nyuzi za The Bold zinafuatuliwa sana kule Jukwaa la Intelligence

Mtu unaweza kuwa na post nyingi na kuwepo kwenye list ya most posts lakini ukazidiwa umaarufu na asiyekuwepo kabisa kwenye list

Mtu unaweza kuwa na maLIKE mengi pengine kunizidi mimi lakini usiwe maarufu

Kwangu mimi hii thread imenisaidia kujifunza mengi pamoja na kupata marafiki wengi hadi kushirikiana nje ya JF.....
Hivyo uzuri wa thread ni kile kilichomo/kinachoandikwa na siyo wingi wa post
..........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom