Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hiz shule bora zifungue
Let the kids be kids. Ni bora ya hawa kuliko hao wanaoshinda wamepindisha migongo wakicheza michezo na kuangalia mambo mabaya kwenye simu, tablets na kompyuta. Hawa wanajifunza kuhusu ushirikiano, urafiki, ubinadamu na hata mahusiano yao na wanyama. Unamuona huyo mbwa alivyotulia? Anajua kuwa yupo katika mikono salama na si ajabu amejaribu kuruka huo ukuta mpaka amechoka. These kids will be OK...
 
17bd4ac870ba8f457500734c6f98af75.jpg
 
Let the kids be kids. Ni bora ya hawa kuliko hao wanaoshinda wamepindisha migongo wakicheza michezo na kuangalia mambo mabaya kwenye simu, tablets na kompyuta. Hawa wanajifunza kuhusu ushirikiano, urafiki, ubinadamu na hata mahusiano yao na wanyama. Unamuona huyo mbwa alivyotulia? Anajua kuwa yupo katika mikono salama na si ajabu amejaribu kuruka huo ukuta mpaka amechoka. These kids will be OK...
yeah bonge LA point
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom