10/
Vietnam War
Ilikuwa vita kati ya Vietnam Kusini na Kaskazini
Vita ilianza Nov 01 1955 baada ya Marekani kuanza kutosa sapoti ya kijeshi kwa Vietnam Kusini ambao walikuwa wakipambana dhidi ya Ukomunisti na Kaskazini
Urusi na China nao wakasapoti Vietnam Kaskazini na vita ikawa kali na kupiganwa hadi 1975
Rais wa USA alikuwa ni
John F Kennedy ambaye baadaye aliuawa na kurithiwa na Lyndon B Johnson ambaye aliendeleza gurudumu la vita
Mwisho wa siku April 30 1975 Vietnam Kusini na USA wakashindwa vita na hivyo Vietnam Kaskazini kuimegaKusini na kuunda
The Socialist Republic of Vietnam
Vita iligharimu maisha ya watu Milioni 2.4
Ilidumu kwa miaka 19
.........