Makapuku Forum

Makapuku Forum

3ca3b4e343548126f98256f51434cb38.jpg


Enzi zile lee na shuny
Kumbe alikutesa hivi
 
2/The Greco--Persian War
c7cdcd3d82a33ce2e2fc08f03e4e6025.jpg
e3e92e4ed742979f3f1f24b2868958db.jpg
025164250ab5ccb7e4838a6411202a7d.jpg

Hii ilihusisha migogoro mitatu iliyopiganwa kwa miaka 50 lakini wana historia wameakisi zaidi mgogoro mmoja zaidi
Ilihusisha dola kibao zikiongozwa na Athens Empire dhidi ya Persian Empire ambayo kipindi hili ilikuwa ndo himaya yenye nguvu zaidi duniani
Vita ilianza kwa Wagiriki kuishambulia miji kadhaa ambayo ilinyanganywa miongo kadhaa nyuma
Ugiriki akashinda vita.
Ilidumu miaka 50 {449--449 BC)
......
 
9/The Great Northern War
c413f4aa5177e04bd91558b26f5dfc3d.jpg
6636eaa2fd01b96a8e1db8ad41a5f3b2.jpg
6d9161334e9d8f535bd8ecb3f3095301.jpg
Hii ilikuwa ni vita baina ya Urusi chini ya Peter The Creat dhidi ya Swedish Empire chini ya Charles XII hapohapo pembeni walikuwepo Denmark,Poland,Uingereza,Norway na Ottoman Empire
Watu 300,000 walipoteza maisha
Ilipigwa kati ya mwaka 1700 hadi 1721
Urusi enzi hizo Russian Empire alishinda vita na hatimaye kuwa Taifa/dola lenye nguvu duniani
Vita ilichukua miaka 21
........
Aisee
 
6/The Peloponesian War.
bce3bf14e60f1641f0559bb83fde692f.jpg
7af9a991f0f6b183acf20c44d3a600ac.jpg
72ec81c58cf3f57c471cd8a3fdcfa47e.jpg

Ilikuwa ni vita baina ya Athens Empire dhidi ya Penoponesian League(Spartans) ambayo ilikuwa ni vita kali ya bahari ni na kusambaa hadi Uturuki pwani ya Mediterrania ilihusisha meli zaidi ya 150 kuzama nikiwa na mabaharia zaidi ya 3000
Athens walishindwa vita
Ilidumu kwa miaka 27 (431--404 BC)
......
Duh aisee
 
Wewe mbona mama ashura alikucharukia kuhusu bidhaa zakoo


Yule alitaka kukopa, nikamkopesha na masharti ni kuwa naye anipe kwa mkopo wa muda mrefu bila kugeuza mkataba. Akasaini mkataba na alipomaliza kutumia forevaliving, mkataba ukawa unaniruhusu kuchimba dhahabu kwa mkopo.

Ile charuka yake yote ni baada ya mimi kutaka kuchukua makanikia, si akacharuka eti hayako kwenye mkataba.
 
Yule alitaka kukopa, nikamkopesha na masharti ni kuwa naye anipe kwa mkopo wa muda mrefu bila kugeuza mkataba. Akasaini mkataba na alipomaliza kutumia forevaliving, mkataba ukawa unaniruhusu kuchimba dhahabu kwa mkopo.

Ile charuka yake yote ni baada ya mimi kutaka kuchukua makanikia, si akacharuka eti hayako kwenye mkataba.
 
2/The Greco--Persian War
c7cdcd3d82a33ce2e2fc08f03e4e6025.jpg
e3e92e4ed742979f3f1f24b2868958db.jpg
025164250ab5ccb7e4838a6411202a7d.jpg

Hii ilihusisha migogoro mitatu iliyopiganwa kwa miaka 50 lakini wana historia wameakisi zaidi mgogoro mmoja zaidi
Ilihusisha dola kibao zikiongozwa na Empire dhidi ya Persian Empire ambayo kipindi hili ilikuwa ndo himaya yenye nguvu zaidi duniani
Vita ilianza kwa Wagiriki kuishambulia miji kadhaa ambayo ilinyanganywa miongo kadhaa nyuma
Ugiriki akashinda vita.
Ilidumu miaka 50 {449--449 BC)
......
Miongo mitano si mchezo
 
Yule alitaka kukopa, nikamkopesha na masharti ni kuwa naye anipe kwa mkopo wa muda mrefu bila kugeuza mkataba. Akasaini mkataba na alipomaliza kutumia forevaliving, mkataba ukawa unaniruhusu kuchimba dhahabu kwa mkopo.

Ile charuka yake yote ni baada ya mimi kutaka kuchukua makanikia, si akacharuka eti hayako kwenye mkataba.
 
1/The Hundred Years' War
bf4dfd1ed25a6f0fc17a91426a276c7d.jpg
cad463ed4d691b02e8b9105b6f920ad7.jpg
63bf6f1c368b7896801b3bb7306cadb9.jpg

Hii ilikuwa ni vita baina Waingereza na Wafaransa kugombea utukufu/makoloni throne
Wafaransa walishinda vita
Watu zaidi ya Milioni 3.5 walipoteza maisha
Ilipiganwa kuanzia 1337 had I 1453(miaka hesabu mwenyewe)
.
.
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti nada
Tukutane kesho
Mwisho
...........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom