Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Sawa shemejiMama D
Sawa shemejiMama D
Asante mkuu mAdenge1/The Hundred Years' War![]()
![]()
![]()
Hii ilikuwa ni vita baina Waingereza na Wafaransa kugombea utukufu/makoloni throne
Wafaransa walishinda vita
Watu zaidi ya Milioni 3.5 walipoteza maisha
Ilipiganwa kuanzia 1337 had I 1453(miaka hesabu mwenyewe)
.
.
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti nada
Tukutane kesho
Mwisho
...........
Lile zengwe nalikumbukaa vizuri ulikuwa mdogo kama pilitonYule alitaka kukopa, nikamkopesha na masharti ni kuwa naye anipe kwa mkopo wa muda mrefu bila kugeuza mkataba. Akasaini mkataba na alipomaliza kutumia forevaliving, mkataba ukawa unaniruhusu kuchimba dhahabu kwa mkopo.
Ile charuka yake yote ni baada ya mimi kutaka kuchukua makanikia, si akacharuka eti hayako kwenye mkataba.
Ulishawahi kupenda? Kama huwezi kufanya hivi basi utakuwa unapiga sana selfie au onesome
Muone mjomba angu hapo na CM
Thanks bitoz kwa top ten1/The Hundred Years' War![]()
![]()
![]()
Hii ilikuwa ni vita baina Waingereza na Wafaransa kugombea utukufu/makoloni throne
Wafaransa walishinda vita
Watu zaidi ya Milioni 3.5 walipoteza maisha
Ilipiganwa kuanzia 1337 had I 1453(miaka hesabu mwenyewe)
.
.
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti nada
Tukutane kesho
Mwisho
...........
mkuu inaonekana ulisota sana,![]()
Enzi zile lee na shuny
Binamu hii si tuliifuta na nikafanya mpango ukaibiwa simu kipindi kilee make nilijua itanileteaa matatizoo

hahahah! kama huyo ndo wewe usiogope fanya mpango nenda D9 club mwili utarudiMimi huyo, hiyo suruali ni wakati sijapunguzwa kazi BoT nikahamia TrA ambako nako nilisitaafishwa kwa fagio la chuma. Sasa hivi nauza bidhaa za Forever Living. Kuna mteja? Si mnaona nilivyopungua
Muziki: Sifa ya Nguru sio Chumvi
Inakaribia kabisa Ijumaa, TG. Na kwa hali hii basi naamini kabisa wote tunaokutana hapa tumekuwa na wakati mzuri sana leo, Makapuku ni kama kokoro, ukute wengine walipo ni Ijumaa tayari na kwa walio Kigoma saa hizi jua linawaka sana. Shukurani kwa kutembelea hapa muda huu.
Well, kipengele chetu kama ilivyo ada, oh yeah, ada ni mtihani kweli kweli, kwa wote waliosoma sekondari na wakabahatika kula ada au japo kuidokoa kidgo mnajua kabisa ugumu wa kuirudisha bila kurudishwa nyumbani 😀😀😀, ha hahaha, hata mimi ninayeandika hapa nimepata kicheko cha aina yake maana ada ni ada tu, ndo maana mzazi alipokuwa ananipa ada lazima nihesabu mbele yake. Sio kwamba simuamini, ila ada haina adabu, na kuihesabu lazima nihakikishe kila noti kwa mate, yaani kama mfanyakazi wa bank vile. Hongera sana wote mliowahi kula au kudokoa ada, nyinyi ni wapambanaji halisi.
Turudi kwenye muziki, na kama kawaida hapa ni gitaa kwa kwenda mbele. Gitaa bila kujali ni la solo, lead au rhythm dhumuni kubwa ni kuleta ladha kwenye muziki. likipigwa sawasawa hutoacha kutikisa kichwa na ukishakuwa na akili za balehebalehe basi hukatazwi kutikisa kiuno. Muziki ni burudani.
Ndala Kasheba, yes, namuongelea mkongoman huyu aliyekuja Bongo mapema tu baada ya uhuru wa nchi yetu na akafanya muziki kwa mafanikio makubwa kabisa hapa nchini. Alijulikana ndani na nje ya nchi kwa aina yake ya kipekee ya kupiga gitaa akizidonoa zaidi zile nyuzi tatu za kwanza.
Unaikumbuka Dezo Dezo, Kesi ya kanga, Marashi ya Pemba na ukipata muda Kapuku mwenzangu hebu sikiza Yellow Kadi (hii ni ballad ) ina mashairi ambayo kiukweli utayapenda sana na kwa hadhari tu sikiliza huku unapata kahawa moto, chai au kama wewe ni mlipakodi halisi sikiza huku unakunywa bia.
Sikiza hizi zote na utausikia utamu wa gitaa lake la nyuzi 12
Ni bahati mbaya sana Ndala katutoka na zaidi kama walivyokuwa wanamuziki wengine hapa nchini hakufaidika sana na matunda ya muziki wake kutokana na wengi wetu kutosapoti muziki wa dansi enzi kabla ya miaka ya 2000 na hata vijana wa sasa full kudownload (pirating ). alianzisha band naamini ikiitwa Zaita ambayo haikufanya vema sana na udhoofu wa mwili ulimlaza nje ya game kwa muda hadi mauti yalipomkuta.
Nikupe nafasi sasa ya kusikiza kibao kimoja wapo na naamini utakipenda maana mida hii Makapuku forum ni burudani na utani wa kutoyafanya maisha kuwa magumu sana kama kula ada ilhali ikijulikana kabisa sifa ya nguru sio chumvi, maana chumvi nguru anapakazwa tu, uvundo ndo sifa yake kuu.
![]()
Muziki: Sifa ya Nguru sio Chumvi
Inakaribia kabisa Ijumaa, TG. Na kwa hali hii basi naamini kabisa wote tunaokutana hapa tumekuwa na wakati mzuri sana leo, Makapuku ni kama kokoro, ukute wengine walipo ni Ijumaa tayari na kwa walio Kigoma saa hizi jua linawaka sana. Shukurani kwa kutembelea hapa muda huu.
Well, kipengele chetu kama ilivyo ada, oh yeah, ada ni mtihani kweli kweli, kwa wote waliosoma sekondari na wakabahatika kula ada au japo kuidokoa kidgo mnajua kabisa ugumu wa kuirudisha bila kurudishwa nyumbani 😀😀😀, ha hahaha, hata mimi ninayeandika hapa nimepata kicheko cha aina yake maana ada ni ada tu, ndo maana mzazi alipokuwa ananipa ada lazima nihesabu mbele yake. Sio kwamba simuamini, ila ada haina adabu, na kuihesabu lazima nihakikishe kila noti kwa mate, yaani kama mfanyakazi wa bank vile. Hongera sana wote mliowahi kula au kudokoa ada, nyinyi ni wapambanaji halisi.
Turudi kwenye muziki, na kama kawaida hapa ni gitaa kwa kwenda mbele. Gitaa bila kujali ni la solo, lead au rhythm dhumuni kubwa ni kuleta ladha kwenye muziki. likipigwa sawasawa hutoacha kutikisa kichwa na ukishakuwa na akili za balehebalehe basi hukatazwi kutikisa kiuno. Muziki ni burudani.
Ndala Kasheba, yes, namuongelea mkongoman huyu aliyekuja Bongo mapema tu baada ya uhuru wa nchi yetu na akafanya muziki kwa mafanikio makubwa kabisa hapa nchini. Alijulikana ndani na nje ya nchi kwa aina yake ya kipekee ya kupiga gitaa akizidonoa zaidi zile nyuzi tatu za kwanza.
Unaikumbuka Dezo Dezo, Kesi ya kanga, Marashi ya Pemba na ukipata muda Kapuku mwenzangu hebu sikiza Yellow Kadi (hii ni ballad ) ina mashairi ambayo kiukweli utayapenda sana na kwa hadhari tu sikiliza huku unapata kahawa moto, chai au kama wewe ni mlipakodi halisi sikiza huku unakunywa bia.
Sikiza hizi zote na utausikia utamu wa gitaa lake la nyuzi 12
Ni bahati mbaya sana Ndala katutoka na zaidi kama walivyokuwa wanamuziki wengine hapa nchini hakufaidika sana na matunda ya muziki wake kutokana na wengi wetu kutosapoti muziki wa dansi enzi kabla ya miaka ya 2000 na hata vijana wa sasa full kudownload (pirating ). alianzisha band naamini ikiitwa Zaita ambayo haikufanya vema sana na udhoofu wa mwili ulimlaza nje ya game kwa muda hadi mauti yalipomkuta.
Nikupe nafasi sasa ya kusikiza kibao kimoja wapo na naamini utakipenda maana mida hii Makapuku forum ni burudani na utani wa kutoyafanya maisha kuwa magumu sana kama kula ada ilhali ikijulikana kabisa sifa ya nguru sio chumvi, maana chumvi nguru anapakazwa tu, uvundo ndo sifa yake kuu.
![]()
Asante mkuu mAdenge
Pamoja sana wadauThanks bitoz kwa top ten
Sawa mdauBitoz unapiga kaz kubwa hapa ndani
Ubarikiwe mwanangu
A hapoooo

Muziki: Sifa ya Nguru sio Chumvi
Inakaribia kabisa Ijumaa, TG. Na kwa hali hii basi naamini kabisa wote tunaokutana hapa tumekuwa na wakati mzuri sana leo, Makapuku ni kama kokoro, ukute wengine walipo ni Ijumaa tayari na kwa walio Kigoma saa hizi jua linawaka sana. Shukurani kwa kutembelea hapa muda huu.
Well, kipengele chetu kama ilivyo ada, oh yeah, ada ni mtihani kweli kweli, kwa wote waliosoma sekondari na wakabahatika kula ada au japo kuidokoa kidgo mnajua kabisa ugumu wa kuirudisha bila kurudishwa nyumbani 😀😀😀, ha hahaha, hata mimi ninayeandika hapa nimepata kicheko cha aina yake maana ada ni ada tu, ndo maana mzazi alipokuwa ananipa ada lazima nihesabu mbele yake. Sio kwamba simuamini, ila ada haina adabu, na kuihesabu lazima nihakikishe kila noti kwa mate, yaani kama mfanyakazi wa bank vile. Hongera sana wote mliowahi kula au kudokoa ada, nyinyi ni wapambanaji halisi.
Turudi kwenye muziki, na kama kawaida hapa ni gitaa kwa kwenda mbele. Gitaa bila kujali ni la solo, lead au rhythm dhumuni kubwa ni kuleta ladha kwenye muziki. likipigwa sawasawa hutoacha kutikisa kichwa na ukishakuwa na akili za balehebalehe basi hukatazwi kutikisa kiuno. Muziki ni burudani.
Ndala Kasheba, yes, namuongelea mkongoman huyu aliyekuja Bongo mapema tu baada ya uhuru wa nchi yetu na akafanya muziki kwa mafanikio makubwa kabisa hapa nchini. Alijulikana ndani na nje ya nchi kwa aina yake ya kipekee ya kupiga gitaa akizidonoa zaidi zile nyuzi tatu za kwanza.
Unaikumbuka Dezo Dezo, Kesi ya kanga, Marashi ya Pemba na ukipata muda Kapuku mwenzangu hebu sikiza Yellow Kadi (hii ni ballad ) ina mashairi ambayo kiukweli utayapenda sana na kwa hadhari tu sikiliza huku unapata kahawa moto, chai au kama wewe ni mlipakodi halisi sikiza huku unakunywa bia.
Sikiza hizi zote na utausikia utamu wa gitaa lake la nyuzi 12
Ni bahati mbaya sana Ndala katutoka na zaidi kama walivyokuwa wanamuziki wengine hapa nchini hakufaidika sana na matunda ya muziki wake kutokana na wengi wetu kutosapoti muziki wa dansi enzi kabla ya miaka ya 2000 na hata vijana wa sasa full kudownload (pirating ). alianzisha band naamini ikiitwa Zaita ambayo haikufanya vema sana na udhoofu wa mwili ulimlaza nje ya game kwa muda hadi mauti yalipomkuta.
Nikupe nafasi sasa ya kusikiza kibao kimoja wapo na naamini utakipenda maana mida hii Makapuku forum ni burudani na utani wa kutoyafanya maisha kuwa magumu sana kama kula ada ilhali ikijulikana kabisa sifa ya nguru sio chumvi, maana chumvi nguru anapakazwa tu, uvundo ndo sifa yake kuu.
![]()