Makapuku Forum

Makapuku Forum

4ab5c0a2cbc8a08267e0d30b4d4f1122.jpg
 
As usual ni utani tu babe. Nothing serious. Na utani ukizidi tunakanyana, yanakwisha na tunasonga mbele. Principle hii rahisi ndiyo inaifanya Makapuku iendelee kustawi. Kwingine kule ukiwa na bifu na mtu ni bifu kweli kweli japo hata hamjuani. Samahani kama nimekukwaza shemu. Sometimes I can be too much...
Nooo Shem hujanikwaza na haitatokea ukanikwaza mi nimejikuta nimeandika tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom