mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,920
Kwa upande wangu ni nzuri mkuu!Habari zenu
Kwa upande wangu ni nzuri mkuu!Habari zenu
Ahsante sanaaaaaaNzuri mtoto wa Wenger, karibu
AmeniNzuri mpendwa wetu, siku imeanza vizuri sana maana mpaka sasa sijasikia tukio lolotete baya na hata watu walonizunguka nyuso zao ziko na furaha!
AhsanteKaribu jukwaani mkuu
Magu aiige hii ili kurudisha heshima kwa familia ... wafanyakazi wa kike bongo nyodo kichizi!Marekani wanawake waliruhusiwa kupiga kura majuzi juzi hapa tu (mwaka 1920) na mpaka leo bado wanabaguliwa hasa katika mishahara. Kwa wastani mwanamke wa Marekani leo hulipwa senti 79 kwa kila dola ambayo mwanaume hulipwa. Yaani kama mwanaume analipwa dola 1 kila saa hata kama ni kwa kazi ile ile, elimu ile ile... mwanamke yeye atalipwa senti 79.
Materials tumejaa sana mbonaHajapatikana bado. Wifey material kuwapata siku hizi ni nadra mno! Kuna wapigaji tu - unapiga nawe unapigwa..na maisha yanasonga!![]()
Hamtaki kuolewa...Materials tumejaa sana mbona
Waoaji tatizo mnafanya mambo kua magumuHamtaki kuolewa...
Wengine mna vigezo laki
Sisi tunarahisisha mambo ujue... tuko tayari kutofanya hata harusi!Waoaji tatizo mnafanya mambo kua magumu
KwemaaKwema humu Wakuu?
Tatizo mnaangazia kwa wenye vyura zaidiSisi tunarahisisha mambo ujue... tuko tayari kutofanya hata harusi!
Mdada nani hapendi harusi? Mahari kama vile tunauziwa kabisa
Sio kweli bhana! Hujaona ule uzi jamaa anapenda vimbaumbau plus flat screen!? Sasa hayuko peke ake bali tuko wengiTatizo mnaangazia kwa wenye vyura zaidi
Sie ma flat screen wala hamna habari kwetu
Yukwapi huyo nikachangamkie fursa?Sio kweli bhana! Hujaona ule uzi jamaa anapenda vimbaumbau plus flat screen!? Sasa hayuko peke ake bali tuko wengi
Bhanaaa... unapeleka fursa wapi? Anza na mimi!Yukwapi huyo nikachangamkie fursa?
1907 - Norway yawaruhusu Wanawake kupiga kura.
Niko hapaYukwapi huyo nikachangamkie fursa?
Ishakua tabu sana...Napenda sana wasichana wembambaYukwapi huyo nikachangamkie fursa?