Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,378
Yap! Tena ukizubaa unapigwa tu we hata hupigi. Ni shida!Piga upigwe et![]()
Yap! Tena ukizubaa unapigwa tu we hata hupigi. Ni shida!Piga upigwe et![]()
Aaahaaa kumbeHuyu mama familia ujuee
Ni kweli, lakini tumeshindwa kujitambuaIla Waafrika wajinga sana aisee!
jamaan mwanaume hafugwi msukuma kikubwa naangalia napendwa vipiiHalafu akianza mambo ya akina Cheusi Mangala mke anakuja juu. Mume anaitwa Pedeshee mutu ya maperemende aka totoz unategemea nini?
Nko poa hofu kwako wnguacha tu mke mwee majukumu ya hapa na pale vipi lakini unaendeleaje
Yeye alikuwa anafikisha ujumbe tuMkuu unalenga kumanisha nini hasa ...
Haya shemela wanguhahahha hakuna mbaya shemela uwe na amani ya moyo
kweli mke mwee we endelea kumuwekea uwa usije ukalia
kulia tena uwiii
Hapo sasa hata mimi nilitaka kushanggaa
kibonge mzito wa pedeshee lee mutu ya peremendeIla Waafrika wajinga sana aisee!
Ila inawezekanasijui aisee shemela
mmhMarahaba mtoto wa my Daby
Unayoyaona huku uyaache huku huku usimwambie bamdogo wako

mimi apa Baba DLakini wewe

![]()
![]()
shemela shululu usiongee kitu unaweza ongea mambo ya maua ya mama mchuchu
niko kimya tuShedy yko api?Macho kodoo
upi sasa jamaan utulie basi na bamdogo angu mbona yeye kaamua kutulia kabisaHuu sasa uchawi
Nimekupata![]()
shemela acha tu