Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Kila mtu anaruhusiwa kuwepoHata humu simo duuuuuh ngoja nikaoge bahari beach
Soma post # 3
Karibu
............
Kila mtu anaruhusiwa kuwepoHata humu simo duuuuuh ngoja nikaoge bahari beach
Nilikuwa kwa mama mkwe nasadia usafihuyo liz mwenyewe anakuchora tu, muulize jana alikuwa wapi, teh nacheka kwa dharau
Simaanishi humu mkuu kuna listi imewekwa jina langu halipo natania 2Kila mtu anaruhusiwa kuwepo
Soma post # 3
Karibu
............
Hahaha karibu sana nduguNa hisi zaidi yake
hahah usijinyonge bureBraza jipe moyo tu
Nilikwepo na ntakwepo japo majukumu nayo yana ntengaHahaha karibu sana ndugu
Jibu umepata sasaNilikuwa kwa mama mkwe nasadia usafi
hahah usijinyonge bure
Pamoja sana nduguNilikwepo na ntakwepo japo majukumu nayo yana ntenga
Habari ya kupotea?safi, muungano day ndio imeisha
WEWE KUNA ALIYEKUOMBA USOME MAONI YANGU NA KUYAJIBU KWA HASIRA? UNGEWEZA KUYAPITA NA KUSEPA. WEWE BILA SHAKA UTAKUWA MIONGONI MWA WALE MEMBERS WANAONYANYAPAA WENZAO HUMU NDANI.Kuna alieomba maoni yako labda???
Niko safi kabisa, mambo vipi?Jimena nakusalimu dada
ulitegemea akwambie alikuwa kwanguJibu umepata sasa
njema, lakini mbona mimi nipo?Habari ya kupotea?
Uzi ni wa makapuku..... Unapokuja kutoa ushauri kuwa hatuko sahihi na bla bla kibao kana kwamba tumekwambia tuna shida ya ushauri wako ndo napokuona wa ajabu...WEWE KUNA ALIYEKUOMBA USOME MAONI YANGU NA KUYAJIBU KWA HASIRA? UNGEWEZA KUYAPITA NA KUSEPA. WEWE BILA SHAKA UTAKUWA MIONGONI MWA WALE MEMBERS WANAONYANYAPAA WENZAO HUMU NDANI.