Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,503
- 57,043
Lazima waelewe tuuuKuna Uzi hapa jirani wameufufua ni wa 2014 una views 190+ k ...sisi week 2 tu tuna 150+ k na replies za kufa MTU
Wataelewa tofauti ya Nokia ya Tochi na Samsung galaxy note 4
![]()
![]()
![]()
.............
Wanataka kushindana haoKuna Uzi hapa jirani wameufufua ni wa 2014 una views 190+ k ...sisi week 2 tu tuna 150+ k na replies za kufa MTU
Wataelewa tofauti ya Nokia ya Tochi na Samsung galaxy note 4
![]()
![]()
![]()
.............
Heshima yako mkuu.nawasalimu wakuu
Hahahaa yes babeSina useme mimi, tulindane tu baby hakuna namna
Hiyo lazima nitupie
Maana humu sielewi elewi kabisa baby wanguHahahaa yes babe
Turudi kuleeeeMaana humu sielewi elewi kabisa baby wangu
Tena anatuchokoza kweli Wasukuma. Ila kwa vile ni mada ya makapuku ngoja tumvumilie tu. Makapuku ni lazima wewe na umoja ati!Wenyewe wakitoa povu sikutetei
.......,......
Hata humu simo duuuuuh ngoja nikaoge bahari beachHabari wana JF
Habari Makapuku wenzangu
Matumaini yangu wote mko poa kabisa.
Uzi huu ni kwaajili ya makapuku wote. Lengo ni kujadili changamoto zinazotukabili, pia Kupeana support katika mambo yetu hapa JF. Tupeane mbinu za kukabiliana na mambo yote humu.
Makapuku natumaini nyote tutashirikiana katika jambo hapa JF. Bila kumsahau founder wa makapuku prezidaa Bitoz shukrani kwake sana.
Members
EMMYGUY
ibra87
sizzya007
Nahrene
cute b
lizziebettie
UncleBen
peterchoka
nyumbatatu
dekitambi
HULILO
Kawalala93
damtanzania
Mama mkubwa
Thoomas
youngblood
tawa driller
SongeaOne
eden kimario
KABUGHA
Sambusa kavu
shaban lee
Nafsi huru
hassandady
Shemtibuko
sumbai
mabesela
dog 1
aggyjay
Elly_corner
Teacher on duty
willy fredy
PNC 1
jambilo
Powder
Mussolin5
xavia jr
Amenn
Madame S
Karibu sana makapuku katika mjadala. Wengine nitawaongeza hapo baadae.
Karibu sana
Bitoz
JF Makapuku Founder
Jimena
JF Makapuku assistant Founder
Th Name JF Makapuku assistant Founder
Wakishalewa mbege watalala mapema msiwe na hofu washajaribu kufufua thread zao za viporo kibao lakini HOLLAHWanataka kushindana hao
Lazima waelewe tuuu
Wameanza kupoteana.
Marhaba!Heshima yako mkuu.
Twende ila huku turudia Mara moja moja honey maana hii ni familia yetu hakikaTurudi kuleeee
Sawa babe!Twende ila huku turudia Mara moja moja honey maana hii ni familia yetu hakika
Karibu mkuu huku peace sana na endelea kuangaza angaza macho unaweza kupata ile kitu roho yako inapendaga.Asante mkuu. Nipo nipo tu hapa JF. Kapuku sina ubaya na mtu.
sasa si muende kimya kimya jamani, acheni hizoTurudi kuleeee
kwema kaka za jioniKwema mkuu!
Hahahahah sisi ndo sisi bhana hatuna mpinzani hakikaWakishalewa mbege watalala mapema msiwe na hofu washajaribu kufufua thread zao za viporo kibao lakini HOLLAH
......................
nzuri sana tukwema kaka za jioni
Mbona hivyo brazasasa si muende kimya kimya jamani, acheni hizo