Hata mimi naelewa kuwa tunatania tu kakaMkuu tunataniana lakini tuna mipaka. Maneno ya kuudhi tunauaepuka ndg yangu, kibaya zaidi Valentina anajiheshimu sana kwa posts zake hajawahi udhi mtu.
Nia yangu ni njema ukiwatibua makapuku kwa umoja wao watakushambulia
Undugu wetu unaanzia kwenye kitovu kuja juuWatu hawana undugu tena na vitu kama hivi ndiyo vinafanya tushindwe kuwaruhusu wake zetu kwenda kumfariji youngblood maana ghafla watatupia ule music unaosema ''shemeji shemeji huku mwazimaa taaaa''
usijali boss.Nsamehe bure Mkuu.
Wew kaa mbali sana th name saizi yangu akibisha nasema na mengineteh teh teh teh me simo.
Usije kuota usiku unatwangwaNaomba unitag na mie braza kwenye huo uzi.
Kuna alieomba maoni yako labda???Kwa hiyo, hayo ndio MAONI yangu juu ya jambo hilo.
haya ngoja niendelee kucheza "GTA"Ndo hivyo kaka
Hahahahahah mtumishiMkuu nimetulizana sana cina haja na mke wa mtu, nina mke wangu ninampenda ananipenda, macho yangu hayatamani mwingine wengine rafiki zangu na mashemu na madada tu
cc
Ameizing
Lizzie
Nahrene
Linamo
Ximena
Valentina
![]()
Patience223
![]()
![]()
Muulize kwanza kama kifua anachoNoted...!
Na kodi ya magufuli ilipwe piaWifi nimekukubali..
Barua iende na mahari ilipweee
Sawa mkuuHata mimi naelewa kuwa tunatania tu kaka
Valentina hata mimi sijawahi kuona posts zake kaudhi mtu kwa kweli
Valentina namuheshimu sana tu hata yeye anajua hilo
Nimeandika muungano wa vik""ojo"""leo nikiwa namaanisha kuwa tunataniana tu na Valentina wangu
Jf na iheshimiwe na watu wote milele Ameeeeen
Naona wanasahau haraka hawa watuKwani ndugu hawatoki out?? Usisahau tuliuza nyumba moja ya urithi....

Kwema mkuu ZamaulidUndugu wetu unaanzia kwenye kitovu kuja juu
Tubu dhambi ya kunisingiziaHahahahahah mtumishi
@ emmyguy aminiMmmh...! Pagumu hapo.
Asante wengine yatosha wawe dadazenu tu....Usijali Dada tuko pamoja sana

Kodi kwenye ndoa??? Noti raitiNa kodi ya magufuli ilipwe pia
Hahhaahah siku hizi pamechoka tangu lile bomu ile mizigo iliyokuwa inavuta tela nyuma hakuna tena..Wengi wameamia Mile Stone...Arusha night park vip mkuu!
Unapata subu/supu huku maua yanakatisha mbele yako aaah burdan kabsaa