Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hadithi tu. Kolomije na Gamboshi zote nimekaa sana na sijawahi kuona nyoka wa mauza uza. Ni wale wa kawaida mnagongana akiwa kwenye mishe zake unamuua basi mambo yanaisha. Matukio mengi ya uchawi mara nyingi ni hadithi zinazoenezwa na watu kwa kusudi maalum...
I am not serious about that.... I don't believe in such things
 
Hadithi tu. Kolomije na Gamboshi zote nimekaa sana na sijawahi kuona nyoka wa mauza uza. Ni wale wa kawaida mnagongana akiwa kwenye mishe zake unamuua basi mambo yanaisha. Matukio mengi ya uchawi mara nyingi ni hadithi zinazoenezwa na watu kwa kusudi maalum...
naogopa hivyo viumbe msivitaje jamaan usiku huu
 
kwan zaman binamu ulikuwa mchawi
Aaa wapi. Uchawi ukishatoa mpaka makafara na kuua watu huwezi kuacha na ukabaki salama. Itakubidi ulipe makafara na damu za watu uliowaua kwanza; na ikibidi utafute mtu wa kurithi mikoba yako. Ni process ndefu kidogo. Pengine bageshi alishatimiza masharti ya kujitoa
 
Aaa wapi. Uchawi ukishatoa mpaka makafara na kuua watu huwezi kuacha na ukabaki salama. Itakubidi ulipe makafara na damu za watu uliowaua kwanza; na ikibidi utafute mtu wa kurithi mikoba yako. Ni process ndefu kidogo. Pengine bageshi alishatimiza masharti ya kujitoa
aiseee waje kwa Yesu jamaan wanapata faida gani huko
 
Hakuna uhuru usio na mipaka. Pamoja na uhuru wao kuna mambo huwezi kuyasema. Ukitishia kumuua mtu au useme eti unatengeneza bomu kwenye gheto lako muda hautapita FBI weshakugongea mlango...

Unaweza kutukana viongozi na kusema mambo unayotaka lakini huko mbele ya safari yaweza kukuumiza kwa sababu waajiri wengi na hata admission katika vyuo sasa wanafukunyua sana online profiles za applicants. Juzi juzi hapa Harvard imewatimua wanafunzi kadhaa wa mwaka wa kwanza waliokuwa na group lao wanapost mambo ya kibaguzi.
Anhaa kumbe cyber crime ipo ila ni mpaka ujaribu kuvunja sheria za nchi sawa.

Nadhani huko ni lazima kila device iwe on GPS
 
USALAMA WA WATU WA MUNGU

ZABURI 125

1.Wanaomtegemea Mwenyezi Mungu wako kama mlima Sayuni ambao hautikisiki Bali wabaki imara daima.

2.Kama Yerusalemu inavyozungukwa na milima, ndivyo Mwenyezi Mungu awazungukavyo watu wake, tangu sasa na hata milele.

NAWATAKIA USIKU MWEMA, DAMU YA YESU IWAFUNIKE MBARIKIWE

Sent from my itel it1406 using JamiiForums mobile app
Amen mama

Na kwako pia

Uwe na usiku tulivu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom