Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,926
aisee3/Sailfish![]()
![]()
Kama jina lake lilivyo...ni bingwa wa kuogelea
Ndiye mnyama wa majini mwenye kasi zaidi
Huweza kuogelea kwa kasi ya maili 68 kwa saa
......
aisee3/Sailfish![]()
![]()
Kama jina lake lilivyo...ni bingwa wa kuogelea
Ndiye mnyama wa majini mwenye kasi zaidi
Huweza kuogelea kwa kasi ya maili 68 kwa saa
......
umeniambiaAnko, mimi na wewe tunatunziana Siri, sijamwambia
najua binamu mbona kama kajiteka kwa cheusiAnko wangu hawezi kutekwa yuko makini sana. Watekaji huwa hawatumii nguvu kumteka maana huwa anaenda kwao kujiteka. Juzi kajiteka kwa cheusi
Asante Bitoz1/Peregrine Falcon![]()
![]()
![]()
Huyu ndiye mnyama wa angani(ndege) mwenye kasi zaidi duniani
Ana jeuri ya kukimbia/kupaa kwa Maili 200 kwa saa
Yaani spidi mara nne ya simba
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
..........
mke mwee mautani yaliyovuka mipaka sipendi jamaan kwa mtoto wanguHv shemela huyu ndo D nn

nimeshakujibu mimi mke mweeNasubiri nijbiwa mkuu
Wewe usiwe na shaka na mimi.... Niambie kitu kimoja... Wewe ni msukuma kweli au utani tu.?Mzee wa Kung'oaaaaa...Ni yupi mtoka povu unayemlenga hapa? Utani wangu ukikuzidia sema nipunguze mkuu; au niache kabisa kukutania. Unakwazika ninapokutania kuhusu ukaka wako kwa malkia Shunie na "ukipenzi rafiki" wako kwa kamanda Lee? Hii ni makapuku bageshi na utani ndo jadi yetu. Pole!
Asante1/Peregrine Falcon![]()
![]()
![]()
Huyu ndiye mnyama wa angani(ndege) mwenye kasi zaidi duniani
Ana jeuri ya kukimbia/kupaa kwa Maili 200 kwa saa
Yaani spidi mara nne ya simba
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
..........
Unene nalinsukuma gete gete mnaKolomoje nyanda omuGeni ng'wizukulu Mashishanga abingabusumabu gubalimi batale bamabuluba na mamchele. Naligitachang'wa Shimba ya Buyenze gitandagula mapanda na mabambasi...Wewe usiwe na shaka na mimi.... Niambie kitu kimoja... Wewe ni msukuma kweli au utani tu.?






Mungu wanguWhen plastic surgeries go wrong!![]()
![]()
![]()
mambo ya kurekebisha kazi ya mikono ya MunguDuhHa hahahhaa, while this guy was stupid, I once knew a smart one, jina John wanted yeye aliiba matairi ya gari la polisi kituo kikuu cha wilaya.
ShuuHawa plastic surgeons shwaini kabisa hawa. Yaani wao hawafiki mahali wakasema no...Now it is enough. As long as you pay them, wataendelea kukukata tu...![]()
![]()
Muulize mama DHv shemela huyu ndo D nn
Bhinamu uko poaMbona hujanitaja aunt yangu !? Unajua kila kinachohusisha BH huwezi kunikosa
.....moyo wangu kaushika
Bhinamu uko poa
binamu yangu jamaan tatizo umepotea sana siku mbili hizi mama mchuchu ukuje binamu obe anakuulizia
Nimecheka sana pamoja sijaelewa kilichoandikwa msukuma weweUnene nalinsukuma gete gete mnaKolomoje nyanda omuGeni ng'wizukulu Mashishanga abingabusumabu gubalimi batale bamabuluba na mamchele. Naligitachang'wa Shimba ya Buyenze gitandagula mapanda na mabambasi...
Anaza kwesheni plizi...![]()

Aisee hivi kwa nini wanamkufuru Mungu na alivyowaumbaWhen plastic surgeries go wrong!![]()
![]()
![]()