Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Na pia tunazidi kujikataa uhalisia wetuInaumiza ndiyo but we are still doing the same. Huoni mawigi, mikorogo na upuuzi mwingine wa kuabudu kila kitu cha mzungu? Bado wanatudhalilisha tu japo sasa tunajidhalilisha wenyewe. Nothing has changed!