Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Natumai ameshatangulia mbele ya haki sasa May he R I PUsitie shaka hakuna uwaribifu unaoweza tokea baiana ya kaka na dada labda upenda wa Agape tu....Kuna jamaa yeye alipewa kilikuwa kimzizi anakitafuna akikutana na msichana aliempenda anakitafuna chochote anachokueleza huruki hata kama ulikuwa unaenda church utageuza umfuate aendapo na mkishamaliza tu tendo pendwa ndo fahamu zako zinakurudia ila too late..