Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,955
- 16,006
Kwema kabisa kijibaridi tuKwema mkuu Zamaulid

Kwema kabisa kijibaridi tuKwema mkuu Zamaulid

Nimeona sana mambo yako humu mtumishi. Acha hizoTubu dhambi ya kunisingizia
Du...wengine hicho hakipandi...labda cha usikuPamoja sana mkuu
Karibu tule chakula cha mchana
Kijibaridi hujui kuwa leo ni siku ya sikukuu ya muungano?Kwema kabisa kijibaridi tu![]()
Milestone hakuna parking mkuu, hivi pale ngaramtoni ya chini kabla hujafika tembo club ya kisongo, pale kati kulia wanaita sundown au?Hahhaahah siku hizi pamechoka tangu lile bomu ile mizigo iliyokuwa inavuta tela nyuma hakuna tena..Wengi wameamia Mile Stone...
Ni kipato halal hicho lazima kilipiwe kodiKodi kwenye ndoa??? Noti raiti
Hahaha yaani wewe zamaulidDu...wengine hicho hakipandi...labda cha usiku
Tofautisha utani na uhalisiaNimeona sana mambo yako humu mtumishi. Acha hizo
Basi na mimi nimefanya utaniTofautisha utani na uhalisia
Basi na mimi nimefanya utani

Nitauza shamba langu huku kisarawe nifanikishe![]()
kazi kwako
Ndo niko kwenye harakatiKijibaridi hujui kuwa leo ni siku ya sikukuu ya muungano?
Hujaungana mkuu Zamaulid
Siungi mkono hojaNi kipato halal hicho lazima kilipiwe kodi
Sielewi
Mkuu kisu cha bucha hakichagui ng'ombe....mi bora chakula tuHahaha yaani wewe zamaulid
Chakula cha usiku Huwaga unapenda kula chakula cha aina gani?