Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kikofia Kawa adimu sana huku, japo mitaa mingine yupo
Ni uamuzi wake binafsi mdau
Mtu akiwepo huku huwa nafurahi pamoja nae na akisepa ni uamuzi wake hata nikikutana nae mitaa mingine simuulizi
Tumia kila muda unaopata kuwa na marafiki kufurahi...ni km maisha ya kielimu ambapo msingi ulikuwa na marafiki mkaachana,sekondari hivyohivyo na chuo pia...... ni wachache ambao mlipomaliza masomo mliendelea kuwa marafiki

Hivyo furahi na hawa waliopo humu leo.......
Ni wachache ambao walikuwepo mwanzoni na bado wapo hawa ndo watu wa shida na raha matokeo yake tumekuwa marafiki hadi nje ya JF

La msingi ni kuishi vizuri na kila MTU na km hujawahi kumfanyia mtu jambo baya basi hata akiachana na wewe bado utaendelea kuwa na furaha na amani moyoni
Life goes on !!!
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom