Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ni kweli. Siku moja nakwenda kumchukua mtu airport nikakosea exit zote mbili kutokana na labyrinth ya mi-flyover yao hii. Nikajikuta nimeingia kwenye mzinga wa daraja reefu tena juu ya bahari halafu traffic ni bumper to bumper. Kulivuka tu karibia lisaa lizima ndiyo sasa nikaanze kuangalia utaratibu wa kurudi. Mgeni nikamwambia achukue taxi tutakutana nyumbani jioni. Mashikolomageni baba!
Kwenye road signs wanatumia lugha gani?
 
Hodi hodi hodi hodi hodi

Mimi ni Mgeni napenda kujumuika na nyie humu ndani-Makapuku!

Sema kabla sijaja humu mnaoeneka nyie ni watu ambae mko tofauti sana katika hili jukwaa.

Kwanza,nimegundua kuna couples humu ndani hivyo mnaoneana wivu sana.

Pia, nyie mnapenda likes sana kwa sababu mtu akiweka hata alama ya koma mnalaiki tu.

NOTE: aliyesababisha nije humu ni SAKAYO huyu Dada nampenda sana nimekuwa nikijaribu kufuatilia comments zake nimetambua ni mwanamke kweli (wife material). Sakayo Nipo tayari kwa lolote juu yako lengo langu kubwa niwe na wewe.
Hilo haliwezekani.........

Halafu fanya uje na ID yako ya zamani basi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom