Shalom mama mchungajiUkweli tunapaswa kuombea taifa letu ,mambo ni mengi mno ,mahali hapa tunaweza kuungana pamoja kuomba na kuona ukuu wa Mungu katika kila jambo
YAKOBO 5
16.b...kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana,akiomba kwa bidii.
17.Eliya alikua mwanadamu mwenye tabia moja nasisi,akaomba kwa bidii mvua isinyeshe,na mvua haikunyesha juu ya nchi muda wa miaka mitatu na miezi sita.
18.Akaomba tena,mbingu zikatoa mvua,nayo nchi ikazaa matunda yake.
Shalom
Utajisikiaje pale unapopewa ushauri ukaukataa kisha ukakumbana na ulichokipinga?Mkuu bahati ya mwezio haitakiwi kulaliwa mlango wazi. We nadhani atakuwa alianza kukufanyia "screen shot" tena pengine kuanzia kwenye profile pic yako. Ina ukakasi mkubwa sana.
Salama kabisa shem waneHbr ya uzima
Usipokuwa makini unarudi ulikotoka3/Bang Na Expressway
Ndo lilikuwa likishikilia rekodi ya dunia hadi hapo mwaka 2010 lilipoondolewa kwenye orodha kwa sababu tu halikatizi sehemu yoyote majini(Flyover}
Ni flyover ya njia 6 huko nchini Thailand
Lina urefu wa Km 55
.......
Swali dogo tuKiukweli nikiangalia yanayofanyikaga bungeni nikaangalia na jitihada za wenzetu wanavyokimbiakatika suala la maendeleo, huwa natamani yale majaribio ya masafa mrefu ya North Korea yaweyanafanyika pale Dom.
Aisee refu sana hilo2/Tanjin Grand Bridge
Ni daraja la reli linaloziunganisha Langfang na Qingxian
Ni njia ya treni ya spidi kutoka Beijing hadi Shanghai....Sisi huku huita SGR
Lina urefu wa Km 113.7
.......
Hiyo segment imeshaanza au bado?Weekends itakuwa safi. Wazo zuri na nitalifanyia kazi kwa sababu hapa inabidi kusoma kidogo na siyo blah blah...
Criminals wa huku kwetu mmmh. Nitajaribu. Shida ni kuwapata kwa sababu hawawi documented. Asante sana mkuu. I respect you!!!
Lazima atataka aniuzie zaidi ya 900k dollarsJambo lingine la kujifunza kule China
Ni kwamba serikali yao hawataki pesa yao iwe na thamani kubwa ili tu kuvutia kibiashara yaani export trade ndiyo maana wametawala soko la dunia
Chukua mfano dola ya Marekani ina thamani kubwa sasa mbongo ukanunue TV huko kwa SHIMBA dola 500 sijui ikija huku Bongo utamuuzia Nyagei Tsh ngapi
.........
Sina la kuongeza mkuuAsante sana mdau Shimba, kuandika ni 'hobby' na ninafurahi na kujiskia vizuri kuwa sehemu ya familia hii, Makapuku ambako kumejaa member wanaojitambua na kujali masiha yao na ya wengine bila kukereka wala kukereketwa.
Nikiingia humu huwa najifunza mengi sana tena ya msingi na yananifanya niwe na wakati mzuri nikaa kusaka mkate wangu na wa wapwa zako.
Hapo nilipopabold, ndo wanapokosea, ni kweli wapo watoto wa shule humu, JF ni kama kokoro... na unajua kokoro linaleta si samaki tu. Humu makapuku kuna watu wa fani zote na mada humu huwa zinaongelewa japo kiurahisi rahisi lakini ndo zinaeleweka vizuri sana.
Nikupe mfano mdogo tu, enzi hizo gazeti la Daily News lilikuwa linaandikwa kwa kiingereza kigumu hadi unajiuliza hawa waandishi ni maAnglo Saxon ama vipi? Yalipokuja mengine kama The Express, Guardian na mengine nikaona kumbe huna haja sana ya kuandika mabombastic ili uonekane unajenga hoja.
Hoja ni hoja pale inapoeleweka, na hili ndilo linalofanywa na Makapuku
Vp weSina la kuongeza mkuu
Mwifa!Nani yupo macho?
Huyo anayeniita ndo kwanza namuona leo, akuje na ID ya zamani nimtambue vyema..... Kinyume na hapooo ameagizwa tuu huyo!!!!!!Dada unaitwa kuna mgeni wako
Habari yako lakini.....Siyo kutega nimeongea ukweli toka moyoni Mkuu.
Pia natumai siyo kosa wala nini!
Huyo binti nampenda sana.
Sitojali kapendwa na wangapi wala na nani!
"I will fight and win"
Nakuelewa na nakupenda sana Sakayo
Ni kweli. Siku moja nakwenda kumchukua mtu airport nikakosea exit zote mbili kutokana na labyrinth ya mi-flyover yao hii. Nikajikuta nimeingia kwenye mzinga wa daraja reefu tena juu ya bahari halafu traffic ni bumper to bumper. Kulivuka tu karibia lisaa lizima ndiyo sasa nikaanze kuangalia utaratibu wa kurudi. Mgeni nikamwambia achukue taxi tutakutana nyumbani jioni. Mashikolomageni baba!Usipokuwa makini unarudi ulikotoka
Nitalala karibuniVp kamanda hulali u
Vp we