Makapuku Forum

Napenda uwasilishaji wako. Una uwezo wa kuandika (kumzidi hata bwana yuleeee!) na inaonekana uko siriazi. Mtu akisoma ni lazima tu ajifunze kitu kipya. Ni mambo kama haya yanayoifanya Makapuku izidi kuheshimika na kuondoa ile dhana potofu kwamba sote tulioko huku ni watoto wa shule wapiga porojo tu tusio na mbele wala nyuma.
 

Ahsante Obe
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…