MESSI AKUBALI MKATABA MPYA BARCA
Lionel Messi amekubali mkataba mpya Barcelona utakaombakisha Camp Nou hadi mwaka 2021, kwa mujibu wa Cadena SER .
Masharti mapya yanamruhusu kuongeza mwaka mmoja zaidi baada ya mkataba huo na klabu yoyote itakayomtaka italazimika kut €400 million.