Papaa Gx
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 11,508
- 18,668
Ukubwa aujiongeze
Ukubwa aujiongeze
Na ArsenalMAN U YAPANDA DAU KWA MPAPPE.
![]()
Manchester United wametoa dau la paundi milioni 113 kwa ajili ya kinda matata wa Monaco Kylian Mbappe, kwa mujibu wa The Daily Mail .
Habari zinadai kuwa Manchester City na Real Madrid ni klabu zinazoiwania saini ya mchezaji huyo mahiri wa Ufaransa.
AiseeMESSI AKUBALI MKATABA MPYA BARCA
Lionel Messi amekubali mkataba mpya Barcelona utakaombakisha Camp Nou hadi mwaka 2021, kwa mujibu wa Cadena SER .
Masharti mapya yanamruhusu kuongeza mwaka mmoja zaidi baada ya mkataba huo na klabu yoyote itakayomtaka italazimika kut €400 million.
![]()
Afu anajua kila kitu et!Kiboko haswa
Naamini atafutaye hachoki. Kuna siku ataniponda kama dawa za utamu kila dk, baada ya kutambua ni jinsi gani nilivyochizika kwake. Nachoshukuru kila coment ninayoandika humu haja quote, hii itazidi kuniweka roho juu na kunijaza uchungu pia, ili mwisho wa siku niingie mpeku.Utasubiriiii sana ...
Nan wa kukunyongaa hawakuwezii

Hapo chacha?!Wivu wa nin sasa
Hahaaa wale vilaza unanifananisha nao mm mkuu![]()
![]()
![]()
utakuwa Wa msimbazi tu lionee