Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Km wanatuonea gere na wenye wajeeHeshima kwenu, mnatisha wengine hofu imewashika kwa ajili yenu
Km wanatuonea gere na wenye wajeeHeshima kwenu, mnatisha wengine hofu imewashika kwa ajili yenu
Chacha jina la mtuHapo chacha?!
Na Bado atujaamsha Dude sasa

Angalia usipate maumivu ya tumbo kwa kicheko hicho
AmenMATHAYO 7
7. Ombeni nanyi mtapewa,tafuteni nanyi mtapata,bisheni nanyi mtafunguliwa.
Mungu ulisema niombe nami nitapewa.Na nitafute nami nitapata.Nibishe nami nitafunguliwa.
MPENDWA
USIACHE KUOMBA,KANUNI HII INATUHAKIKISHIA KUPATA TUTAKACHOOMBA KWA IMANI![]()
NAWATAKIA MCHANA MWEMA![]()
![]()
😱 😱 😱 😱Naamini atafutaye hachoki. Kuna siku ataniponda kama dawa za utamu kila dk, baada ya kutambua ni jinsi gani nilivyochizika kwake. Nachoshukuru kila coment ninayoandika humu haja quote, hii itazidi kuniweka roho juu na kunijaza uchungu pia, ili mwisho wa siku niingie mpeku.
Pamoja.!! mrs flan...Wooiw!!!! This is twiga
Asante mkuu
Swadakta kabisa..!!Anavutia sanaaaa
Swali zuriKwan wewe uko single ??
Mmmmmh!Hahaaa umepatia
Uko sawa kabisa, kamanda Bitoz+Twiga ndiye mnyama ambaye ni nembo ya Taifa la Tanzania
Duniani kote wanyama ni utambulisho wa Taifa Fulani
Mfano
Uganda ni korongo(flamingo) wakati USA ni tai(Eagle)
........
Mpelekee salamu mwambie habari ya VUMBI LA CONGO na supu za pweza, kwa sasa si dhani kama lina nafasi kwa malkia mtulivu kama mama Mchungaji. Nimejizatiti kwa Mbegu za maboga, mdalasini wa India, Asali ya nyuki wadogo na vitunguu swahumu vya bongo, sio vile vya south Africa.

kutafuta chuchuzUkubwa au
pamoja sana mkolomijeStupid Criminals (Wahalifu Wajinga). Ni kipengele kitakachokuwa kinakujia kila siku kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa. Hapa utapata kuona upande mwingine wa mnyama huyu matata aitwaye binadamu (Homo Sapiens), na pengine kujifunza kitu pamoja na kuburudika. Nitakuwa nakuwekea wahalifu wa kila aina watano kila siku. Tuwemo...