Mm ndo maana huwa nashinda humu kapuku make napata kila nachohitajiiAlafu wapuuzi wanauita eti uzi wa watoto wakati tumewazidi maarifa ila wao wametuzidi mvi tu
Heri dogo mwenye akili kuliko babu ujinga/mpumbavu
.......
Zauzimaaa?marahabakamooo
Nakuonaaa nakuonaaaeti baby ninyonye maziwa
Ubarikiwekamooo
Vipi kuhusu sexual organs za twiga. Ni kama za punda kihongwe?Mambo Muhimu usiyo yajua kuhusu Twiga
Twiga ana miguu mirefu,shingo ndefu sana,ulimi mrefu na pembe fupi zilizo butu.Mwili wake una mabaka yenye rangi ya kikahawia(njano )na kuzungukwa na rangi ya maziwa.
Mnyama huyu anapatikana katika nyika hususan sehemu zenye migunga pamoja na mikakaya,miti ambayo huifurahia sana na ni chakula chake kikuu.
Twiga hana ushindani mkubwa wa chakula na wanyama wengine kwa vile yeye hula majani ya juu nchani wakati wanyama wengine hawafikii majani hayo.
Twiga ana urefu wa kati ya mita 4.8 na 5.5 Uzito wake ni kati ya kilo 700 na 1500.Twiga jike ana rangi ng'avu zaidi kuliko dume.Hii inaweza kuwa ni maumbile ya kuwavutia Twiga dume.Dume ni mkubwa na mzito kuliko jike.View attachment 521248
Urefu wa ulimi wake ni kati ya sentimeta 46 hadi 50 wakati ambapo urefu wa moyo ni meta 0.6 Ana uwezo wa kukimbia kilometeta 55 kwa saa.Mkia wake ambao ni meta 2.4 ni mrefu kuliko mikia ya wanyama wote duniani.
Twiga huzaa mtoto mmoja kwa mara moja na huweza kuishi kati ya miaka 20 hadi 30.Huchukua mimba kwa muda wa miezi 14.15 hadi 15.mtoto anapozaliwa huwa na uzito wa kati ya kilo 45 hadi 70 na urefu wa mita1.8
Shingo yake ndefu hufanya mwendo wake kuwa wa madaha na kuwavutia watu wengi.View attachment 521247
Kila aombae hupewa. Ni kweli hii Mama mchungaji?MATHAYO 7
7. Ombeni nanyi mtapewa,tafuteni nanyi mtapata,bisheni nanyi mtafunguliwa.
Mungu ulisema niombe nami nitapewa.Na nitafute nami nitapata.Nibishe nami nitafunguliwa.
MPENDWA
USIACHE KUOMBA,KANUNI HII INATUHAKIKISHIA KUPATA TUTAKACHOOMBA KWA IMANI
NAWATAKIA MCHANA MWEMA
Asante+Twiga ndiye mnyama ambaye ni nembo ya Taifa la Tanzania
Duniani kote wanyama ni utambulisho wa Taifa Fulani
Mfano
Uganda ni korongo(flamingo) wakati USA ni tai(Eagle)
........
MjibuSwali zur
Kipya kinyemi madame. Yalikuwa manne.Poor Abacha,kumbuka alikua katika dhambi pia ,angerudi nyumbani kunyonya yasingemkuta,tamaaa mbaya kwakweli
Umenishinda tabia madengeNi uchaguzi binafsi wa nchi
Kwani hajawahi kuona hata bendera hufanana
Hutumika kwa ajili ya utalii na pia kutambulisha nguvu/tabia ya Taifa husika
Mfano
USA wanatumia Eagle na ni taifa babe kijeshi na kiuchumi wakati Tz tunatumia Twiga ni Taifa lenye ukarimu na upole/unyonge karibia kila kitu kuanzia uchumi hadi michezo
......
Amerudi kwaoHi ni kwamba alikimbilia wapi baada ya matokeo?
"ALIYEPUNGUKIWA NA AKILI UWAONEA WATU"
Nakuonaaa nakuonaaaUmeona Husna.
Tena kwa lafudhi ya kihindi.eti baby ninyonye maziwa
Dikteta upoooAsante mkuu
Twiga sio mdebwedo. Simba kumuua twiga ni KAZI kuliko kumuua nyati.Kifupi ni mdebwedo au
Aaaaagh Mzee Lee. Hisia!Nakuonaaa nakuonaaa
Nawe pia diktetaLeo katika Historia:
Niwatakie siku njema.
Wageni wanalielewa dundoooWakuuuuu
Mko poa...
Naona siku hizi mbili mnapata wageni sana
Hongereni sana
Ubarikiwe