Waingereza leo wanapiga kura katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo.
Leo ni siku ya Bajeti kwa baadhi ya nchi za Afrika Mashariki.
Tume huru ya Uchaguzi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo tuhumani kwa kuendesha polepole zoezi la Usajili na vitendo vya rushwa.
Serikali ya Tanzania kwa mara ya kwanza yaanza matibabu ya upandikizaji wa vifaa vya kusikia kwa watu wanaozaliwa wakiwa viziwi.
Na takwimu zinaonesha kuwa Somalia inaongoza duniani kwa watu wenye magonjwa ya akili.Twende kaz Mr LeeWakuu hope kumekucha salama saliminiii
Wale wapenzi wa nba najua tumeamka mapema kufatilia game 3 na mnajionea kinachoendelea...
Soon Uf
Aise.....UF...![]()
hongera Tanzania kwa maendeleo hayo ktk sekta ya afyaKatika dondoo za bbc ...
Waingereza leo wanapiga kura katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo.
Leo ni siku ya Bajeti kwa baadhi ya nchi za Afrika Mashariki.
Tume huru ya Uchaguzi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo tuhumani kwa kuendesha polepole zoezi la Usajili na vitendo vya rushwa.
Serikali ya Tanzania kwa mara ya kwanza yaanza matibabu ya upandikizaji wa vifaa vya kusikia kwa watu wanaozaliwa wakiwa viziwi.
Na takwimu zinaonesha kuwa Somalia inaongoza duniani kwa watu wenye magonjwa ya akili.
Pamojaa sana kiongiziiTwende kaz Mr Lee
Tuombe Mungu zisiwe propagandahongera Tanzania kwa maendeleo hayo ktk sekta ya afya
Kwel changamoto zimekuwa nyingi kidogoPamojaa sana kiongizii
Japo umeadimikaa kiukwel
Na gharama isije kuwa kubwa sasaTuombe Mungu zisiwe propaganda
Pamojaa kiongoziKwel changamoto zimekuwa nyingi kidogo
Najitahidi nisisahaulike Hapa ndani .
Ndo hivo wasije faidi wahindi wa kariakoo tuNa gharama isije kuwa kubwa sasa