Makapuku Forum

Makapuku Forum

UF...
e01587944c6198799da96d538b4fa54d.jpg
 
Katika dondoo za bbc ...

[emoji117]Waingereza leo wanapiga kura katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo.

[emoji117]Leo ni siku ya Bajeti kwa baadhi ya nchi za Afrika Mashariki.

[emoji117]Tume huru ya Uchaguzi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo tuhumani kwa kuendesha polepole zoezi la Usajili na vitendo vya rushwa.

[emoji117]Serikali ya Tanzania kwa mara ya kwanza yaanza matibabu ya upandikizaji wa vifaa vya kusikia kwa watu wanaozaliwa wakiwa viziwi.

[emoji117]Na takwimu zinaonesha kuwa Somalia inaongoza duniani kwa watu wenye magonjwa ya akili.
 
Katika dondoo za bbc ...

[emoji117]Waingereza leo wanapiga kura katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo.

[emoji117]Leo ni siku ya Bajeti kwa baadhi ya nchi za Afrika Mashariki.

[emoji117]Tume huru ya Uchaguzi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo tuhumani kwa kuendesha polepole zoezi la Usajili na vitendo vya rushwa.

[emoji117]Serikali ya Tanzania kwa mara ya kwanza yaanza matibabu ya upandikizaji wa vifaa vya kusikia kwa watu wanaozaliwa wakiwa viziwi.

[emoji117]Na takwimu zinaonesha kuwa Somalia inaongoza duniani kwa watu wenye magonjwa ya akili.
hongera Tanzania kwa maendeleo hayo ktk sekta ya afya
 
Back
Top Bottom