Makapuku Forum

Makapuku Forum

UF...
e01587944c6198799da96d538b4fa54d.jpg
 
Katika dondoo za bbc ...

Waingereza leo wanapiga kura katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo.

Leo ni siku ya Bajeti kwa baadhi ya nchi za Afrika Mashariki.

Tume huru ya Uchaguzi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo tuhumani kwa kuendesha polepole zoezi la Usajili na vitendo vya rushwa.

Serikali ya Tanzania kwa mara ya kwanza yaanza matibabu ya upandikizaji wa vifaa vya kusikia kwa watu wanaozaliwa wakiwa viziwi.

Na takwimu zinaonesha kuwa Somalia inaongoza duniani kwa watu wenye magonjwa ya akili.
 
Katika dondoo za bbc ...

Waingereza leo wanapiga kura katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo.

Leo ni siku ya Bajeti kwa baadhi ya nchi za Afrika Mashariki.

Tume huru ya Uchaguzi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo tuhumani kwa kuendesha polepole zoezi la Usajili na vitendo vya rushwa.

Serikali ya Tanzania kwa mara ya kwanza yaanza matibabu ya upandikizaji wa vifaa vya kusikia kwa watu wanaozaliwa wakiwa viziwi.

Na takwimu zinaonesha kuwa Somalia inaongoza duniani kwa watu wenye magonjwa ya akili.
hongera Tanzania kwa maendeleo hayo ktk sekta ya afya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom